Latest Posts
RC MNYETI KUWACHUKULIA HATUA WANASIASA WACHOCHEZI
Wananchi wa Kata ya Njoro Wilayani Kiteto, wakimsikiliza Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Alexander Mnyeti akizungumza nao, juu ya kuwachukulia hatua kali wanasiasa wanaosababisha migogoro ya ardhi. Mkuu wa Mkoa wa Manyara Alexander Mnyeti akizungumza kwenye Kata ya Njoro Wilayani…
NAIBU WAZIRI WA MADINI BITEKO ,AMEWATAKA WACHIMBAJI WADOGO KUZINGATIA SHERIA YA USALAMA KWENYE MAENEO YAO YA KAZI
Naibu waziri wa madini Doto Biteko,Akizungumza na wananchi wa kijiji cha Buntumbili Wilayani Bukombe ambapo kulitokea tukio la mchimbaji kufukiwa na kifusi wakati alipokuwa kwenye shughuli za uchimbaji. Naibu waziri wa madini Doto Biteko,akisaini kwenye kitabu cha wageni wakati alipokuwa…
MAGUFULI NA KAGAME WAKUBALIANA KUJENGA RELI YA KISASA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli amesema kuwa Tanzania na Rwanda zimekubaliana kuunganisha Reli ya Kisasa (Standard Gauge) kutoka Isaka mkoani Shinyanga mpaka Kigali nchini Rwanda, ili kukuza biashara na uchumi wa nchi hizi…
UCHAGUZI MDOGO CCM YASHINDA KWA KISHINDO KWENYE MAJIMBO YOTE
Baada ya mbio ndefu za uchaguzi mdogo wa ubunge na Udiwni katika majimbo yote yaliyofanyika uchaguzi hatimaye matokeo yametoka ambapo Chama cha Mapinduzi (CCM) kimepata ushindi wa kishindo na kuwaacha mbali vyama vya upinzani. Akitangaza matokeo katika jimbo la Songea…
Damas Ndumbaro Mbunge Mpya wa Songea Mjini Ashinda kwa 97%
Dr. Damas Ndumbaro alipokuwa akitambulishwa kwa wananchi na Mwigulu Lameck Nchemba kabla ya kufanyika uchaguzi January 13, 2018. MGOMBEA Ubunge jimbo la Songea Mjini kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dr. Damas Ndumbaro ameshinda Uchaguzi kwa kupata kura 45162 sawa na…