Latest Posts
Balozi Nchimbi awasili kufunga kampeni za Serikali za Mitaa Dar es Salaam
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi, leo tarehe 26 Novemba 2024, akiwasili katika Viwanja vya Kwamnyani, Mbagala wilayani Temeke, Mkoa wa Dar es Salaam, kwa ajili ya kufunga rasmi kampeni za Serikali za Mitaa…
Waliofariki kwa kuporomokewa na ghorofa Kariakoo wafikia 29
Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam IDADI ya watu waliopoteza maisha baada ya kufukiwa na jengo lililoporomoka Kariakoo jijini Dar es Salaam imefikia 29. Jengo hilo liliporomoka mapema Jumamosi ya Novemba 16, 2024 na kusababisha vifo, majeruhi na uharibifu…
ACT ni suluhisho la changamoto Kizenga – Abdul Nondo
Mwenyekiti wa Ngome ya Vijana wa ACT Wazalendo Taifa, Abdul Nondo, amewataka wananchi wa Kijiji cha Kizenga, Kata ya Bitale, Jimbo la Kigoma Kaskazini, kuchagua wagombea wa ACT Wazalendo katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotarajiwa kufanyika Novemba 27, 2024,…
‘Vijana mbuni miradi inayoendana na fursa’
Na Mwandishi Wetu, JamuhuriaMediaDar es Salaam Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Kazi, Uchumi na Uwekezaji Zanzibar Sharif Ali Sharif amewataka vijana wa Kitanzania kubuni miradi inayoendana na sera za uwekezaji katika nchi ili waweze kuwa sehemu ya kujenga uchumi…
Majaliwa ahitimisha Jimbo Cup Ruangwa
Kiwengwa FC yaibuka bingwa wa michuano hiyo. Waziri Mkuu na Mbunge wa Jimbo la Ruangwa Kassim Majaliwa ameshuhudia mchezo wa fainali ya kombe la jimbo maarufu Jimbo cup kati ya Stand fc na Kiwengwa FC uliofanyika katika uwanja wa mpira…
ACT – Hatukubali unyanyasaji na ufisadi Mtambani
Yatoa mpango wa kufufua maendeleo Nambani, Dar Mgombea wa nafasi ya uenyekiti wa Mtaa wa Mtambani kwa tiketi ya ACT Wazalendo, Mohammed Mtutuma, ametoa ahadi ya kupambana na unyanyasaji na kuhakikisha heshima ya wananchi inalindwa, ikiwa ni sehemu ya kampeni…