Latest Posts
ASKOFU KAKOBE AMWAGA MBOGA SAKATA LAKE NA TRA
Askofu Mkuu wa Kanisa la Full Gospel Bible Fellowship (FGBF), Zachary Kakobe amewaelezea waumini wake jinsi alivyohojiwa na timu mbili zilizoundwa kwa nyakati tofauti na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA). Askofu Kakobe, ambaye ameingia kwenye mgogoro na mamlaka za nchi…
HAYA HAPA YATAKAYOMPELEKA TUNDU LISSU THE HUAGE UHOLANZI
Mkurugenzi Mkuu wa CZ Information & Media Consultant LTD, Cyprian Majura Nyamagambile amsemema kwamba anatarajia kumfikisha mahakamani Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu kufuatia kauli zake za uongo alizozitoa na kuchafua taswira ya Tanzania. Cyprian ameyasema hayo leo Januari 15…
MAGUFULI ARIDHIA RADHI YA GAZETI LA NIPASHE
Uamuzi wa Serikali kuhusu gazeti la Nipashe Jumapili lililozusha uongo katika taarifa ya Rais Magufuli na Rais wa Rwanda, Paul Kagame.
DOTTO BITEKO: SEKTA YA MADINI LAZIMA IWE NA MCHANGO MKUBWA KWENYE PATO LA TAIFA
Naibu Waziri wa Wizara ya Madini Mhe Dotto Mashaka Biteko akizungumza na wakuu wa idara na vitengo pamoja na wafanyakazi wote wa wizara ya madini mara baada ya kuwasili ofisini Mjini Dodoma, Leo Januari 15, 2018. Picha Zote Na Mathias…
MPINA ATEKETEZA ZANA HARAMU ZA UVUVI ZENYE THAMANI YA SHILINGI BILIONI 2 WILAYANI UKEREWE
Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Luhaga Mpina (mwenye miwani) baada ya kuwasili kwenye kambi ya Uvuvi ya Kisiwa cha Galinzila leo na kuongea na wavuvi. Kulia ni Mkuu wa Wilaya ya Ukerewe Estomiah Chang’a (mwenye kofia) na kulia zaidi…
MAJALIWA: TUTAKAMILISHA UJENZI WA HOSPITALI YA RUFAA YA MUSOMA
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amsema Serikali itahakikisha inakamilisha ujenzi wa hospitali ya Rufaa ya mkoa wa Mara iliyoanza kujengwa mwaka 1980. Atoa kauli hiyo leo (Jumatatu, Januari 15, 2018) wakati alipokagua ujenzi wa hospitali hiyo baada ya kuwasili mkoani Mara…