JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Prof. Lipumba aseme ukweli wote

Leo bado siku 75 kabla ya Tanzania kufanya Uchaguzi Mkuu Oktoba 25. Muda unaweza kuonekana mwingi, lakini ni mchache. Matukio yanayoendelea katika ulingo wa siasa, uvumi na taarifa zinazosafiri kama moto wa nyasi kavu, yanatupasa kuwa makini na kuchambua pumba…

Wagonjwa wahaha zahanati kufungwa

Baadhi ya wagonjwa wanahaha mjini hapa baada ya Serikali kupitia Idara ya Afya Mkoa wa Geita, kufunga Kituo cha Afya cha Msufini kilichopo Mtaa wa Msalala, Kata ya Kalangalala wilayani Geita. Uongozi wa kituo hicho umeagizwa kuomba upya usajili wa…

Umamluki katika siasa

Neno mamluki limekuwa linatumika zaidi kwa askari wa kukodishwa hapa ulimwenguni. Wakati Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) linasherehekea mwaka wake wa tano tangu kuasisiwa kwake  Septemba 1, 1969, Amiri Jeshi Mkuu, Mwalimu Julius Nyerere, alitamka neno “MERCENARY”…

UTAFITI: Vyuo vikuu kuna ‘mateja’

Matokeo ya utafiti uliofanywa na Tume ya Kudhibiti Dawa za Kulevya nchini (DCC), umebaini kwamba wanafunzi wa vyuo vikuu hasa vya Dodoma pamoja na baadhi ya askari polisi wa mkoa huo, wamekuwa watumiaji wakubwa wa dawa hizo. Mtaalamu kutoka DCC…

Watanzania sasa tukatae kutawaliwa

Minyukano ya kutafuta uongozi nchini tayari imeshaanza. Tumeshuhudia ya kushuhudiwa, mitandao nayo ipo kazini usiku na mchana. Inashangaza kuona harakati za kutaka kuwatawala Watanzania ambao dalili zinaonesha kuanza kupevuka uelewa, zimeanza kujidhihirisha. Wanaotaka utawala wamejisahaulisha ahadi zao na matatizo ya…

CCM na utawala uliofitinika

Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimeshindwa kujifunza au kimepuuza matokeo ya migawanyiko na anguko kwa serikali mbalimbali duniani ziliendekeza tawala za kiimla dhidi ya haki, utu na usawa. Anguko la tawala dhalimu zilizodumu madarakani kwa ubabe na kukosa nguvu za hoja…