JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Kila la kheri Watanzania

Jumapili hii, Watanzania tupatao milioni 23.7 tunatarajiwa kumiminika vituoni kwa lengo moja tu la kupiga kura kuchagua viongozi bora, watakao tuongoza kwa kipindi cha miaka mitano ijayo. Baada ya viongozi waliopo sasa kumaliza muda wao wa uongozi wa miaka mitano…

Chadema imewanyimaje Watanzania uchaguzi?

Katika gazeti moja la kila wiki, toleo la wiki iliyopita, mwandishi mmoja mahiri, Lula wa Ndali Mwananzela, ambaye huwa namchukulia kama mtu mwenye maono ya mbali, kaamua kujichanganya na kuniondolea kile nilichokuwa nacho kwa muda mrefu kuhusu mtazamo wake. Kafanya…

Hatuwezi kushinda vita dhidi ya ujangili kwa operesheni

Vita dhidi ya ujangili ni kama mapambano mengine ya binadamu katika kujihakikishia usalama. Tofauti tu ni kwamba katika vita dhidi ya ujangili wanaolindwa ni wanyama na makazi yao, badala ya binadamu na mali zake.  Vivyo hivyo, kama ambavyo mtu hawezi…

Dk. Dau: Tanzania itacheza Kombe la Dunia mwaka 2026

Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) linajenga Kituo cha Michezo katika eneo la Kigamboni, Dar es Salaam; huku likisema lengo kuu ni kuhakikisha Tanzania inashiriki Fainali za Kombe la Dunia mwaka 2026. Mkurugenzi Mkuu wa NSSF, Dk. Ramadhani…

Kingunge atoa siri za Nyerere

Wakati Tanzania na dunia nzima inaadhimisha miaka 16 bila ya kuwa mwasisi wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, mwanasiasa mkongwe nchini, Kingunge Ngombale-Mwiru, ametoa siri za hisia za siasa za Baba wa Taifa. Kingunge, ambaye amehudumu nchini kuanzia chama TANU…

Ndani ya Dk. Magufuli namuona Mwl Nyerere

Nimepata muda wa kukaa na Dk. John Magufuli, kwa nyakati mbalimbali tangu akiwa Naibu Waziri wa Ujenzi hadi sasa anapowania urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mwanasiasa huyu anayepewa nafasi kubwa ya kushinda kiti cha urais, ni mfuasi mzuri…