JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Kwaheri Deo, Lowassa kukamilisha historia!

Usiku wa Alhamisi ya Oktoba 15, nikiwa jijini Mwanza nilipata taarifa za ajali ya helikopta. Taarifa hizi mwanzo zilitaja viongozi wanne waandamizi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuwa walikuwamo. Moyo wangu ulikwenda mbio. Nilimtafuta mmoja wa viongozi wa juu wa…

Amani ya Tanzania haina mbadala

Tanzania, Tanzania, Nakupenda kwa moyo wote, Nchi yangu Tanzania, Jina lako ni tamu sana, Nilalapo nakuota wewe, Niamkapo ni heri mama wee, Tanzania, Tanzania, Nakupenda kwa moyo wote. Tanzania, Tanzania, Ninapokwenda safarini, Kutazama maajabu, Biashara nayo makazi, Sitaweza kusahau mimi,…

Helikopta zinavyowaliza Watanzania

Maelfu ya Watanzania, ndani na nje ya nchi wameendelea kuomboleza kifo cha aliyekuwa Mbunge wa Ludewa, Deo Filikunjombe (43), aliyefariki dunia pamoja na watu wengine wanne katika ajali ya helikopta iliyotokea wiki iliyopita. Pamoja na Filikunjombe, wengine waliofariki dunia ni…

Dhana ya mabadiliko (2)

Serikali tunayoihitaji ijayo ilete matulizo kwa hayo yaliyotokea hapa nchini. Watu wajaliwe, waheshimike na wapate kupiga hatua mbele ya hapa walipo. Kwa kutokuwa na uti wa mgongo wa utawala – UTUMISHI WA UMMA mzuri kama hapo zamani hitaji la utawala…

Majibu kwa wanaomsimanga Magufuli

Kwanza nakushuruku Mhariri kwa kuipa nafasi makala yangu iliyokuwa na kichwa cha habari kisemacho: “Ndani ya Dk. Magufuli, namuona Mwalimu Nyerere”, iliyochapishwa katika toleo namba 211 la Gazeti la JAMHURI. Nimepata wasomaji wengi sana walionipigia simu na wengine walioniletea ujumbe…

Yah: Kwako Rais mpya

Nianze kwa kutoa pole nyingi sana kwa wafiwa wa Mchungaji Christopher Mtikila. Mchungaji Mtikila alikuwa mtu wa jirani sana kwangu na nimezungumza naye mara nyingi sana, maono yake ni dhahiri alikuwa anajua siku moja yatatimia akiwa hajaifungia macho dunia.  Lakini…