JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Jaji aamua kuipitia hukumu ya ‘kiaina’ Moshi

Kashfa inayomkabili Hakimu Mkazi Mfawidhi Mkoa wa Kilimanjaro, Joachim Tinganga, ya kutoa hukumu yenye utata kisheria kwa mshitakiwa aliyepatikaa na hatia ya kukutwa na mali ya wizi, imefikishwa hatua za juu za uongozi wa Mahakama. Mahakama Kuu Kanda ya Moshi…

Ardhi yaitesa Wizara ya Nishati na Madini

Baadhi ya wataalamu wa sekta ya nishati nchini, wamebainisha kuwa moja ya changamoto kuu zinazoikabili sekta hiyo hususan usalama wa nishati, ni upatikanaji wa ardhi kwa ajili ya uendelezaji wa miradi ya umeme. Changamoto hiyo na nyingine kadhaa zilibainishwa hivi…

Afariki na miaka 113

Bibi Carolina Tibakwegomba aliyezaliwa mwaka 1902 katika Kijiji na Kata Kitendagoro, Manispaa ya Bukoba, mkoani Kagera, amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 113. Mkuu wa ukoo wa Abakoba, ambao ni ukoo wa bibi huyo, Mzee Khasim Abdalah Karuandila (80)…

Baraza la Magufuli sura mpya

Rais wa Awamu ya Tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Pombe Magufuli, amekwepa kihunzi cha wasaka nafasi ya uwaziri waliokuwa  wakihaha kuomba nafasi hizo. Habari za uhakika zilizoifikia JAMHURI zinaeleza kuwa kumekuwa na msururu wa wanasiasa nchini…

Polisi hawakutenda haki

Jeshi la Polisi limejipatia sifa kubwa wakati wa kampeni, siku ya upigaji kura na hata wakati wote wa kuhitimishwa kwa shughuli ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015. Kwa mara ya kwanza, Polisi wa Tanzania walionekana weledi, wavumilivu na wenye staha….

Athari za misaada kwa mtu mweusi

‘Rediscovering Africa’ ni jina la kipindi kinachorushwa na televisheni ya taifa ya China (CCTV). Maana ya jina hilo kwa lugha ya Kiswahili ni “Igundue tena Afrika”. CCTV huwafikia Watanzania kupitia baadhi ya vituo vya televisheni vya hapa nchini ikiwamo Televisheni…