JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Mengi, Muhongo, mawaziri chapeni kazi

Nikiwa hapa mkoani Morogoro, nimesikia tangazo la Baraza la Mawaziri. Itakumbukwa kuwa mara kadhaa nimesema na nimeendelea kuamini kuwa Profesa Sospeter Muhongo alistahili kurejeshwa katika Wizara ya Nishati na Madini.  Si Muhongo tu bali hata Katibu Mkuu aliyeondolewa, kisha akapangiwa…

Wateule: uwaziri si ulaji, ni kazi tu

Ukurasa wa 12 wa gazeti hili tumechapisha majina ya mawaziri wapya pamoja na wizara watakazoongoza. Pia wamo naibu mawaziri katika wizara kadhaa. Mawazari na naibu mawaziri hao walitangazwa Alhamisi iliyopita. Siku hiyo walitangazwa jumla ya 30 huku wengine Rais Dk….

Jaji Msuya azua maswali

Watuhumiwa wa kesi ya dawa za kulevya aina ya heroin, wanalalamikia kucheleweshwa kwa shauri dhidi yao wakidai linachukua muda mrefu tangu lilipoanza mwaka 2013. Watuhumiwa hao wanamlalamikia Jaji wa Mahakama Kuu, Upendo Msuya wakihoji; “Sijui Mheshimiwa Jaji ana malengo gani…

Kamishna Minja wa Magereza matatani

Vyombo vya uchunguzi vya Serikali vimeanza kufuatilia ujenzi wa nyumba tano zinazojengwa sehemu moja huko Salasala, Dar es Salaam, mali ya Kamishna Jenerali wa Jeshi la Magereza nchini, John Minja. Minja ametajwa kuendeleza eneo lake kwa kujenga mahekalu ya gharama…

Makontena 1,700 magari 900 yapotea

Makontena 1,762 na magari 919 yametolewa katika Bandari Kavu jijini Dar es Salaam bila kulipiwa ushuru na kodi mbalimbali, JAMHURI limebaini. Pamoja na upotevu huo, Serikali imepata hasara ya Sh milioni 914.136 ambazo hazikulipwa na meli za mafuta kwa miezi…

UKWEPAJI KODI: JK hachomoki

Kwa muda mrefu sasa, zimekuwapo taarifa kwamba familia hiyo ya Rais mstaafu imekuwa ikizibeba kampuni hizo, na moja inayotajwa ni ile ya Home Shopping Centre, iliyojitangaza mufilisi. Home Shopping Centre ilijitangaza kufilisika siku chache kabla ya Rais John Magufuli kuapishwa….