JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Z’bar pagumu – Cheyo

Mwenyekiti wa Taifa wa UDP, John Cheyo maarufu kama ‘Bwana Mapesa’, amesema suala la mwafaka wa urais Zanzibar ni gumu na halihitaji kuamuliwa kirahisi rahisi bila kutafakari. Badala yake Cheyo amesema kuna haja kwa viongozi kukaa kwenye meza ya mazungumzo…

Dk. Magufuli apukutisha viza ‘Wizara ya Membe’

Mwezi mmoja tangu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Magufuli, apige marufuku safari za nje ya nchi kwa viongozi nchini, maombi ya viza yamepungua kwa asilimia 90. Uchunguzi uliofanywa na JAMHURI umebaini ya kuwa Wizara ya Mambo…

Agizo la Magufuli: MSD yaonesha njia

Kwa jinsi ilivyotekeleza maagizo ya Rais John Pombe Magufuli, Bohari ya Dawa nchini (MSD) imedhihirisha kuwa watumishi wa umma wakiongozwa vyema, Tanzania inaweza kupata maendeleo ya kasi. Taarifa zilizoifikia JAMHURI zinaonesha kuwa baada ya Rais Magufuli kuagiza zilizokuwa fedha za…

Kuuza ardhi ni kuuza uhuru

Kuuza au kukodisha ardhi ni sawa na kuuza au kukodisha uhuru. Katiba za mataifa ya Afrika zinatakiwa zipige marufuku hizi sera za ufisadi wa kisaliti za uuzaji na uwekaji rehani wa ardhi; kwani ardhi ni mali ya wananchi (si ya…

Bomoabomoa na kibwagizo cha ‘Hapa kazi tu’

Wakati majonzi, vilio na watu kupoteza fahamu kutokana na kubomolewa nyumba zao zilizojengwa bila kufuata utaratibu kwenye maeneo ya wazi na hifadhi ya barabara katika Manispaa ya Kinondoni, Dar es Salaam huku kibwagizo cha ‘Hapa Kazi Tu,’ kikinogesha kazi hiyo,…

Siasa za Zanzibar ni za aina yake (2)

Ili kudhihirisha kuwa Zanzibar kuna tofauti za kiitikadi za kihistoria na hasa kati ya Visiwa vya Unguja na Pemba hapa kuna mifano ya matokeo ya chaguzo zilizofanyika Zanzibar tangu 1957 mpaka 2010. Katika uchaguzi wa kwanza 1957 ASP walipata viti…