JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

DC Chato aungana na wananchi kupiga kura

Na Daniel Limbe,Jamhuri Media Chato LEO ikiwa siku maalumu kwa wananchi wa Tanzania bara kupiga kura ili kuwachagua viongozi wao wa serikali ya mitaa,vijiji na vitongoji, Mkuu wa wilaya ya Chato,Louis Bura,ameungana na wananchi wa wilaya hiyo kupiga kura ili…

Balozi Nchimbi akipiga kura Dodoma

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi amepiga kura yake katika Kituo cha Ofisi ya Mtendaji wa Kata ya Kilimani, kwa ajili ya kuchagua viongozi wa Serikali ya mtaa anaoishi, eneo la Kilimani, jijini Dodoma…

Wananchi wachagua viongozi Serikali za Mitaa

📌 DKT. Biteko apongeza Wananchi Kujitokeza kwa wingi 📌Awahimiza kujitokeza kuwachagua viongozi Watanzania katika maeneo mbalimbali ya nchi wamejitokeza kupiga kura kwa ajili ya kuwachagua viongozi wao ngazi ya Serikali za Mitaa. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe….

Dk Faustine Ndungulile afariki dunia

Na Isri Mohamed, Jamhuri Media, Dar es Salaam Mbunge wa Jimbo la Kigamboni, Dkt Faustine Ndugulile amefariki dunia usiku wa kuamkia leo Novemba 27, akiwa nchini India alipokuwa akipatiwa matibabu. Taarifa za kifo chake zimetolewa na Spika wa Bunge, Dkt…