JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Siku zote ubabe unagharimu (2)

Wiki niliyopita, mwandishi wa makala hii aliachambua chaguzi mbalimbali. Alifikia hatua ya kuchambua Uchaguzi wa Oktoba 31, 2005 ambako Tume ya Uchaguzi ilikuja na matokeo Mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) alipata kura 5,276,827 yule mgombea wa Chama cha…

Mwanya mwingine wa wakwepa kodi

Rais wetu sasa ni Dk. John Magufuli. Tuna wajibu wa kumsaidia ili aweze kutimiza ahadi zake nzuri alizowaahidi Watanzania wakati wa kampeni za Uchaguzi Mkuu. Kaulimbiu ya “Hapa Kazi Tu”, hatuna budi kuitekeleza kwa vitendo. Hatuna muda wa kupoteza. Uzoefu…

Kauli ya Mwalimu Nyerere bado inatinga

Si mara moja wala mbili kupitia safu hii ‘Fasihi Fasaha’ niliwahoji na kuwataka fikra Watanzania wenzangu, je, wakati umetimu kwa vyama vya siasa vya upinzani kupewa ridhaa ya kushika dola kupitia sanduku la kura? Nilifanya hivyo kutaka kujiridhisha baada ya…

Yah: Magufuli; kama uchaguzi ukiamriwa urudiwe TZ, kubali

Mwanangu Magufuli kutoka Chato, uliyekuja mjini kwa gea ya ubunge, umeleta kizaazaa mjini hata watoto wa mjini sasa wanahaha na sampuli ya Msukuma wewe, eti “hapa kazi tu” asiyeweza aanze mwenyewe kuondoka. Nasikia misemo mingi sana – kuna kugufulika, tingatinga,…

Mabadiliko mengine si ya kulazimishwa

Kwenye kitabu chake What is not sacred? (Kipi siyo kitakatifu?) mwandishi na mwanazuoni Padri Laurenti Magesa anajenga hoja kuwa mila na tamaduni za Waafrika wanaoishi chini ya Jangwa la Sahara hazikupewa uzito unaostahili pale jamii hizi zilipofikiwa na dini kutoka…

Namna ya kumzuia mwenzako katika ndoa kuuza nyumba

Upo wakati kwenye ndoa ambako mmoja wa wanandoa anaweza akawa anataka kuuza au kubadili jina la nyumba/kiwanja bila ridhaa ya mwenzake ilhali nyumba hiyo ni ya familia. Lakini pia nje ya hilo kuna mazingira ambayo mtu anaweza kuwa si mwanandoa,…