JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Kulewa, uchizi ni kinga baada ya kutenda jinai?

Wote tunajua kuwa kila atendaye kosa sharti aadhibiwe. Na kuadhibiwa huko lazima kuwe kwa mujibu wa sheria. Pamoja na kuwa mtenda kosa hustahili adhabu bado watenda kosa hutofautiana hadhi. Hadhi hapa siyo kuwa fulani ni mkuu wa mkoa au mkurugenzi…

Magufuli akabidhiwa orodha

Baada ya Waziri wa Mambo ya Ndani, Charles Kitwanga kuwataka polisi wamweleze mikakati waliyonayo ya kupambana na wauzaji wa dawa za kulevya ifikapo wiki hii, habari za uhakika zilizolifikia JAMHURI zinasema Rais John Pombe Magufuli tayari amekabidhiwa majina ya wauzaji,…

Kikwete ana siri ya makontena

Rais mstaafu Jakaya Kikwete imeelezwa kuwa anafahamu kilichokuwa kinaendelea katika suala la makontena yaliyopotea bandarini na taarifa za kiuchunguzi zinaonesha alipewa taarifa akazikalia kimya. Vyanzo vya uhakika vimeliambia JAMHURI kuwa aliyekuwa Waziri wa Uchukuzi, Dk. Harrison Mwakyembe alibaini upotevu wa…

Polisi waomba Kitwanga, IGP wawanusuru

Baadhi ya askari polisi katika maeneo mbalimbali wamewaomba Waziri wa Mambo ya Ndani, Charles Kitwanga na Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini (IGP), Ernest Mangu kuingilia kati kuwanusuru na unyanyasaji wanaofanyiwa na Wakuu wa Polisi wa Wilaya (OCDs), wanaowahamisha vitengo…

WHC: VAT iondolewe mauzo ya nyumba

Kampuni ya Watumishi Housing (WHC) iliyoanzishwa mahususi kujenga nyumba za bei nafuu kwa watumishi wa umma, imesema Kodi ya Ongezeko ya Thamani (VAT) katika nyumba wanazojenga wakati wa kuuza inazifanya nyumba za bei nafuu kuwa ghali, hivyo Serikali iifute. Akizungumza…

Majipu huanza kama chunusi Zanzibar!

Miaka 15 iliyopita, nikimaanisha mwaka 2000 katika mwezi wa Novemba, nilifanya mahojiano na aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF) Tanzania Bara, Wilfred Muganyizi Lwakatare. Katika mahojiano hayo, nilimuuliza juu ya sintofahamu ya kisiasa iliyokuwa inaendelea Zanzibar baada…