JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Ukweli kuhusu UDA

Wiki iliyopita Mwenyekiti wa Shirika la Usafirishaji Dar es Salaam (UDA), Robert Kisena alikutana na vyombo vya habari jijini Dar es Salaam akazungumza nao kuhusiana na habari kuu tuliyoichapisha katiak toleo Na 225 la Gazeti la JAMHURI. Katika maelezo yake,…

Prof. Lipumba atia ubani Zanzibar

Aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba amekuwa sehemu ya makundi ya watu wa kada mbalimbali nchini anayepinga kurejewa kwa Uchaguzi Mkuu wa Zanzibar. “Zanzibar inaumbiwa hatari kubwa, na mtu wa kuokoa hatari hiyo si mwingine. Ni…

Hatuna ugomvi na Kikwete

Kwa muda mrefu sasa tumekuwa tukichapisha habari zinazoruhusu Taifa letu. Hii ndiyo imekuwa kazi yetu kubwa kwa mwaka huu wa tano wa uhai wa Gazeti la JAMHURI. Wasomaji wetu wanatambua namna tulivyoandika habari ‘nzito’, zikiwamo za wale ‘wasioandikika’ kuanzia kwenye…

Barua yangu kwa Profesa Ndalichako

Awali ya yote naipongeza Serikali kwa hatua chanya iliyoichukua ya kutoa elimu bure kuanzia elimu ya msingi hadi kidato cha nne. Ni hatua ya kupongezwa na kila mpenda maendeleo wa nchi yetu. Lakini, hatua ya kutoa elimu bora kwa kila…

Tumeshindwa kutofautisha ukweli na uchochezi

Katika Tanzania ya leo tumefika mahali ambako maneno ‘ukweli’ na ‘uchochezi’ yanaonekana kama yana maana moja. Mwandishi wa habari na wa magazeti akiandika ukweli mtupu bila kupindisha anaangaliwa kama mchochezi. Mwanasiasa, hasa wa kambi ya upinzani, akisema ukweli mtupu bila…

PRESS CLUBS: Mhimili muhimu wa taaluma ya habari

Kama wahenga wetu wanavyonena katika moja ya hekima zao kwamba umoja ni nguvu utengano ni udhaifu, ndivyo unavyoweza kuzielezea klabu za waandishi wa habari nchini (Press Clubs). Hizi ni klabu za waandishi wa habari zinazowaleta pamoja wanataaluma wa tasnia hiyo…