JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Mapinduzi Z’bar yaenziwe

Januari 12 mwaka huu kama ilivyo kila mwaka, Visiwa vya Zanzibar vimeadhimisha Mapinduzi matukufu ya visiwa hivyo yaliyofikisha umri wa miaka 52. Mapinduzi hayo yanakumbukwa katika kuonesha nguvu ya umma inafanya kazi kuliko kitu chochote kile, pale umma unapochoshwa na…

Je, unahitaji ‘NGO’? Fahamu utaratibu wa kusajili

NGO ni kifupi cha neno Non-Governmental Organization. Kwa Kiswahili neno hili humaanisha shirika lisilo la kiserikali. Kawaida Serikali huwa ina mashirika yake, kwa mfano Shirika  la Bima, Shirika la  Nyumba, Shirika  la Umeme, mashirika ya vyakula n.k.   Tunapozungumzia NGO…

Abdallah Gama: Mkali mwenye historia ndefu katika muziki

Nina uhakika wale mashabiki wa Bendi ya DDC Mlimani Park Orchestra ‘Sikinde’ Ngoma ya Ukae’ wakati huo – vijana wa zamani, watakuwa wanakumbuka mbali kila pale linapotajwa jina la mwanamuziki Abdallah Gama. Gama ni mkung’utaji mahiri wa gitaa la kati…

Azam inapoandaliwa kuwa bingwa Ligi Kuu

Huhitaji kuwa na elimu ya sekondari lau ya kidato cha kwanza, kubaini kwamba Azam FC inaandaliwa kuwa bingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara. Unachoweza kujiuliza ni kuwa Bodi inayoendesha Ligi Kuu Bara (TPLB) inatupeleka wapi? Katikati ya mashindano ya kuwania…

Mabadiliko Bandari

Baada ya Bandari ya Dar es Salaam kulalamikiwa kwa muda mrefu kuwa haina ulinzi mzuri wa mali za mateja, hatimaye uongozi wa Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) umechukua hatua za dhati kwa kuimarisha mfumo wa ulinzi. Kati ya mambo waliyofanya,…

Hatutarajii mipasho, vijembe bungeni

Wiki hii linaanza Bunge la 11 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Bunge hili linaanza na changamoto nyingi. Linaanza na changamoto ambayo vyama vya upinzani ukiacha ACT-Wazalendo havijichanganui iwapo havitambui ushindi wa Rais John Magufuli au vinautambua. Wakati anahutubia Bunge…