JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Kesi ya Kova, Nzowa kesho

Kesi inayowahusisha makamishna wawili wa polisi wanaogombea nyumba – Kamishna Suleiman Kova na Kamishna Msaidizi Mwandamizi Godfrey Nzowa inaendelea kesho mahakamani. Aliyekuwa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Majengo (TBA), Makumba  Kimweri, alipuuza maagizo ya Rais Dk. John Magufuli na kuzalisha mgogoro wa…

Kesi ya matajiri Moshi hatihati

Wingu zito limegubika hatima ya kesi inayowahusu wafanyabiashara matajiri wanaotuhumiwa kumuua John Massawe, katika Kijiji cha Kindi, Kibosho mkoani Kilimanjaro. Watuhumiwa watatu kati ya watano walikamatwa hivi karibuni mkoani Mwanza na kurejeshwa Moshi, kukamilisha taratibu za kuwafikisha mahakamani. Masawe aliuawa…

Tumejitoa sadaka kwa Watanzania-Magufuli

Hotuba ya Rais John Magufuli kwa Wazee wa Mkoa wa Dar es Salaam aliyotoa katika Ukumbi wa Diamond Jubilee, Dar es Salaam mnamo Februari 13, 2016.   Sitajisikia vizuri kama sitasema, shikamoni, Waheshimiwa viongozi wote mliohudhuria hapa na itifaki imezingatiwa…

Kwanini mazungumzo ya amani Syria yameshidikana

H atimaye mazungumzo ya amani kuhusu Syria yaliyokuwa yakifanyika jijini Geneva yamesitishwa bila mafanikio. Msuluhishi kutoka Umoja wa Mataifa (UN), Staffan de Mistura kuanzia Januari 31, mwaka huu alikutana na pande zinazopigana – upande wa serikali ya Rais Bashar Assad…

Tupunguze kulalamika

Bunge hili la kitaifa linajulikana kama Bunge la 11 (eti mimi nalihesabu kama Bunge la 12, kadiri ya kumbukumbu zangu, nilivyoonesha kwa miaka). Ni Bunge la wasomi na ni Bunge la mkato (cross-cutting Parliament) kwa kuwa limejumuisha wabunge wa rika…

Penye titi pana titi

Pokea salamu za upendo na heri ya mwaka mpya 2016, wewe msomaji wa gazeti JAMHURI na safu ya FASIHI FASAHA. Pili, naomba radhi kwa kipindi cha mwezi mmoja na nusu uliikosa safu hii kutokana na mimi mwandishi kufanyiwa operesheni ya…