JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Yoweri Museveni, Rais asiyekubali kushindwa

Katika Uchaguzi Mkuu wa Uganda uliofanyika Februari 18, mwaka huu, waangalizi 50 waliwasili kutoka nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) wakiongozwa na Rais (mstaafu) wa Tanzania, Ali Hassan Mwinyi. Yeye na timu yake waliwasili Uganda Februari 9 na wakaondoka…

Tanzania yenye baraka inawezekana

Katika makala yangu wiki iliyopita, nilieleza kuhusu chanzo cha nchi yetu kuwa maskini, wakati Mwenyezi Mungu ametujaalia rasimali nyingi kuliko mataifa mengine duniani kote, kwamba ni laana ambayo imetokana na viongozi wetu waliotangulia kuilaani Israel. Wako baadhi ya wasomaji waliokubaliana…

Tatizo halikimbiwi, hukabiliwa

Mwanadamu ni kiumbe tofauti na viumbe wanyama wengineo hapa duniani. Kimaumbile viumbe wanyama wote wako sawa kwa maana wanatawaliwa na silika au vionjo vya miili. Mathalani, kila mnyama anaupenda uhai, hivyo anatambua adui wake na silika inamwelekeza namna ya kujikinga…

Rais Magufuli angazia mafuta ya mawese (2)

Wabunge wazoefu wamelia na kuiomba Serikali isibariki “mauaji” haya kwa wakulima wetu. Wametumia kila aina ya maneno kuwashawishi wakubwa serikalini, lakini mwishowe wameshindwa. Historia itawahukumu kwa haki. Hansard zipo. Nani hawezi kuamini kuwa ushindi ambao serikali imeibuka nao bungeni umetokana…

Yah: Utii bila shuruti dhana ngumu Tanzania

Kuna wakati huwa najiuliza kama kweli kuna watu wengine wanafikiria kama ninavyofikiria mimi kizuzu, hasa katika kipindi hiki cha biashara huria na mfumo wa vyama vingi na mbwembwe za kuomba kura kwa kunadi mahitaji ya wapigakura, bila kujali athari ambazo…

Wazanzibar tupe nguzo ya amani

Miaka mitatu iliyopita, kuanzia Juni 11, 2013 niliandika makala iliyohusu “Haki, Ukweli ni Nguzo ya Amani.” Katika makala yale nilielezea na kufafanua hadharani maana ya HAKI na UKWELI yanavyojenga nguzo ya AMANI katika jamii yoyote duniani. Leo tena nimeona ipo…