JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Tatizo halikimbiwi, hukabiliwa (2)

Mzanzibari mwingine yeye katamka maoni yake hivi, “…endapo chama hicho cha CUF kitasusia uchaguzi huo, kitapata hasara za namna mbili. Mosi, kupoteza madaraka kwa viongozi wake wa juu na pia kuondoa ushawishi wa chama hicho kwenye maamuzi muhimu ya Zanzibar…

Ajira kuchukuliwa na Wakenya, Wahindi ni sahihi!

Yapo malalamiko mengi kutoka kwa Watanzania yanayohusu kazi walizostahili kuzifanya, kuona sasa zikifanywa na wageni. Tunawalaumu raia kutoka Kenya, China, India, Malawi, Burundi na kwingineko duniani, walioingia nchini mwetu maelfu kwa maelfu kufanya kazi mbalimbali. Malalamiko haya ya ndugu zangu…

Yah: Asante Magufuli kuthamini Kiswahili

Kutoka katika uvungu wa moyo wangu, nakupongeza kuhutubia mkutano wako wa Arusha  wa Wakuu wa nchi za Afrika Mashariki, kwa lugha ya Kiswahili ambayo ni ya Taifa lako na umeonesha huna utumwa wa lugha katika maisha yako. Tumeona mikutano mingi…

Sikio limesikia, akili haijaamka

Siku moja watoto watundu walikuwa wakicheza kwenye uwanja, karibu na bwawa. Wakacheza mpira, wakacheza mchezo wa kukimbizana na michezo mingine mingi. Mwisho walichoka na michezo yao wakaenda kwenye bwawa. Waliokota mawe na kuanza kuyatupa ndani ya bwawa walimokuwa vyura. Kila…

Kupimwa ardhi mjini fuata utaratibu huu

Tunapoongelea upimaji ifahamike kuwa upimaji upo wa aina nyingi. Kutokana na hilo upimaji unaoongelewa hapa ni upimaji miliki. Lakini tunaongelea upimaji miliki wa ardhi mijini na siyo vijijini.  Upimaji wa ardhi miliki ni upimaji ambao lengo lake ni kummilikisha mtu…

Fukuzafukuza inawanyima nini wapinzani Tanzania?

Ni jambo la kushangaza na kusikitisha kuona wapinzani wanapokosa jambo la kuikosoa Serikali ya Awamu ya Tano, wanaanza kukosoa maneno yao wenyewe. Wanakosoa hata kile ambacho wamekuwa wakiimba muda wote kwa namna ya ‘tukipata madaraka ni lazima tufanye namna fulani’. …