Latest Posts
JamiiForums yawashitaki wasiotaka ufisadi uanikwe
Kampuni ya Jamii Media, inayoendesha mitandao ya JamiiForums.com na FikraPevu.com; hatimaye imeamua kutafuta haki mahakamani dhidi ya kile kinachoonekana kuwa ni matumizi mabaya ya Sheria ya Makosa ya Mtandao yanayolenga kudhoofisha vita dhidi ya ufisadi iliyotangazwa na Serikali ya Awamu…
Serikali iwezeshe wanahabari
Vyombo vya habari nchini vinafanya kazi ya kuibua uozo. Tunaishukuru Serikali ya Awamu ya Tano chini ya Rais Dk. John Magufuli kuwa kila vinapogusa vyombo vya habari inafuatilia na kubaini kuwa kuna uozo. Vyombo vya habari kwa muda mrefu vimekuwa…
CCM ni Jipu lililoshindikana?
Kama tujuavyo Chama Cha Mapinduzi (CCM) ni chama kikongwe, ingawa ukongwe wake hauzidi ule wa Chama cha African National Congress (ANC) cha Afrika Kusini kilichoanzishwa mnamo mwaka 1912. ANC ni chama cha siasa kikongwe zaidi barani Afrika. Tanzania ni nchi ya vyama…
January, Mwamvita wamjia juu Mzungu
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais, (Mazingira na Muungano), January Makamba, ameibuka na kuzungumzia kwa undani kutohusika kwake na kashfa ya ‘udalali’ wa kutafuta wawekezaji wanaotafuta zabuni serikalini ikiwamo ya ujenzi wa Bandari mpya ya Bagamoyo. January amesema…
Madudu Usangu Logistics
Kampuni ya Usafirishaji wa mizigo ndani na nje ya nchi ya Usangu Logistics ya jijini Dar es Salaam imelalamikiwa kwa kuwanyanyasa wafanyakazi na kujihusisha na ukwepaji wa kodi kwa kutumia namba bandia za magari. Wafanyakazi wa kampuni hiyo, wanaodai kunyanyaswa…
Waraka kuhusu Bandari kwa Rais John Magufuli
Tanzania inazungukwa na nchi saba ambazo hazina bandari. Nazo ni Malawi, Zambia, DR-Congo, Burundi, Rwanda, Uganda na Zimbabwe. Jiografia ya Tanzania inatoa fursa kubwa sana kibiashara na ajira katika tasnia ya uchukuzi na usafirishaji wa shehena. Kwa kutumia barabara na…