JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Si chochote, ni chochote

Wake wenza wawili waliishi katika makazi tofauti na mume wao katika mji mmoja. Kila mmoja alijitahidi kumtunza mume na kumuweka katika maisha ya furaha, upendo na utulivu pasi na mwenzake kujua mapenzi anayepewa mume. Mke mkubwa na mke mdogo kila…

Jipu ni jipu tu hata liwe wapi

Waswahili wanasema kwamba ukimwona mwenzio ananyolewa, usilete maneno isipokuwa anza kutia maji kwenye nywele zako na kukaa mkao wa kunyolewa. Hayo ndiyo yaliyojiri Ijumaa ya Machi 4, mwaka huu kwa Balozi Ombeni Yohana Sefue, aliyekuwa akishangilia wakati wenzake wakinyolewa, naye…

Mawaziri wanapotafuta suluhisho North Mara

Bila shaka ni jambo la kusubiri na kuona baada ya mawaziri wawili wa Awamu ya Tano kutembelea kwa ziara ya kushtukiza maeneo athirika kutokana na maji yanayodaiwa kuwa na athari kutoka katika mgodi huo. Kabla ya kuitwa ABG, mgodi huo…

Malinzi na mtazamo wa soka la Tanzania

Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limefanya Mkutano Mkuu katika Hoteli ya Regal Naivera jijini Tanga. Pamoja na mambo mengine, Rais wa shirikisho hilo, Jamal Malinzi, amezungumza na JAMHURI mambo mengi, lakini kwa leo anazungumzia mtazamo wake wa soka la Tanzania….

Msuya kikaangoni

Makamu wa Kwanza wa Rais na Waziri Mkuu (mstaafu), Cleopa David Msuya ameingia kikaangoni kutokana na Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) inayozimiliki Kampuni za Tanzania Distillers Limited (TDL), Darbrew Limited na Tanzania Breweries Limited kuingia katika kashfa ya ukwepaji kodi…

Walioitumbua Ngorongoro waanza kutumbuliwa

Kusimamishwa kazi kwa wahasibu watano na watumishi wengine 15 wa Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA) kwa tuhuma za ubadhirifu wa mabilioni ya shilingi za Mamlaka hiyo, kunatajwa kuwa hakujamaliza wimbi la ufisadi katika Mamlaka hiyo. JAMHURI imethibitishiwa kuwa kuna…