JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Umakini, uharaka wa Serikali ya Awamu ya 5

Umakini ni muhimu katika jambo lolote, lakini pia uharaka ni muhimu zaidi. Haina maana kwamba kitu chochote kinachofanyika kwa umakini ni lazima kiendeshwe kwa ugoigoi na kwa kupoteza muda. Ila uharaka ndiyo unaoonesha umakini unaotakiwa. Mtu makini ni mwepesi wa…

Tanzania itakuwa shamba la bibi hadi lini?

Kwa mila na desturi za makuzi ya Kitanzania, tunafahamu uhusiano uliopo baina ya bibi na mjukuu. Kwa haraka tu, chochote akitakacho mjukuu kutoka kwa bibi, inakuwa rahisi kukipata. Mahitaji ya mjukuu mara nyingi ni matunda na chakula, hivyo bibi akiwa…

Ukweli kuhusu Mwiba Holdings (1)

Naanza kuona nuru ya uhuru wetu na heshima vikirejea kupitia Serikali hii ya Awamu ya Tano. Ni dhahiri kuwa nchi imerudi mikononi mwa viongozi wazalendo ambao hawatishiwi nyau wala kupokea amri kutoka Marekani. Ile kinga waliyopewa wageni kuvunja sheria za…

Tatizo halikimbiwi, hukabiliwa (3)

Sasa hapo mnaona jibu la lile swali kwa nini Wakil alijiondoa? Ndiyo sababu hakusimama mhula wa pili, aliona heri astaafu kwa heshima na ampishe Mzanzibari mwingine kuongoza chombo hiki huko Visiwani.  Baada ya Uchaguzi ule 1985-1990 huko Pemba kulitokea vitimbwi…

Hatutaendelea kwa kulalama

Makala iliyopita nilijadili namna uvivu, udokozi, na udhuru vinavyotukwamisha Watanzania wengi. Nikasema hizo ni miongoni mwa sababu chache, kati ya nyingi zinazowafanya baadhi ya waajiri nchini mwetu waamue kuajiri wageni bila kujali maumivu ya kiwango cha mishahara na malipo mengine…

Yah: Rais Dk. Magufuli na masharti ya maendeleo

Nilipokuwa mdogo, kuna wakati nilimsikia Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere, akituhutubia. Naikumbuka hotuba yake yote, hebu tuikumbuke na wenzetu halafu tutafanya majumuisho tuone  je, inapaswa kuigwa? Alisema: “Kila mwananchi anataka maendeleo; lakini si kila mwananchi anaelewa na kukubali masharti…