JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Mazuri ya Cuba yasiyosemwa

Machi 21 na 22 mwaka huu, Rais Barack Obama wa Marekani alifanya ziara ya kihistoria nchini Cuba. Ya kihistoria kwa sababu hii ilikuwa ziara ya kwanza ya Rais wa Marekani nchini Cuba tangu miaka 88 iliyopita. Mara ya mwisho ilikuwa…

JKN na JPM wanalingana?

Nimekuwa nikisikia, nimesoma katika magazeti na hatimaye ninajiuliza hivi ni kweli viongozi hawa wanalingana? Ulinganisho mara nyingi unakuwa kwa vitu vya aina moja. Katika ulinganisho kuna vigezo vinavyokubalika. Inapokuja kulinganisha utawala wa viongozi mbalimbali hapo kunatakiwa uangalifu wa hali ya…

Yah: Kuna viongozi wanayabananga kwa hofu ya ‘hapa kazi tu’

Nianze kwa kuwapongeza wale wote waliomwelewa Mheshimiwa Rais John Pombe Magufuli, kwamba anataka watu wasibweteke wafanye kazi, na kufanya kazi siyo lazima uonekane kwa kukemea kila kitu hata ambacho hukijui. Hii dharura iliyojitokeza ya kukurupuka kutoka usingizini kwa baadhi ya…

Asante mbabe, Watanzania tumekusikia – 2

Wiki iliyopita nilizungumzia tamko la serikali ya Marekani kupitia Shirika lake Mfuko wa Changamoto za Milenia (MCC), la kukata msaada wa dola milioni 472.8 za Marekani sawa na shilingi trilioni moja kwa Serikali ya Tanzania katika miradi ya mfuko huo…

Rekodi inaitafuna Yanga

Hakuna ubishi kwamba baada ya kutoka sare ya bao 1-1 katika mchezo wa mkondo wa kwanza, hatua ya 16 bora ya Ligi ya Mabingwa Afrika, uliofanyika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam, Yanga imejitengenezea ugumu mchezo wa marudiano. Yanga inatarajiwa…

Mikopo yaponza wabunge

Hatua ya Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) ya kuwafikisha wabunge wanne mahakamani kwa tuhuma za kuomba rushwa, uchunguzi wa JAMHURI umebaini kuwa mikopo waliyochukua wabunge kutoka benki mbalimbali nchini imegeuka mwiba kwao. Taarifa za benki mbalimbali na…