JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Mgombea urais huyu hatari

Mwaka huu taifa kubwa lenye ushawishi mkubwa katika ulimwengu wa leo, Marekani, watafanya uchaguzi wa Rais, kuchukua nafasi ya Rais Barrack Obama.  Kule Marekani uchaguzi wao unafanyika mwezi Novemba, lakini madaraka wanakabidhiana tarehe 20 Januari ya mwaka unaofuata. Wagombea kinyang’anyiro…

Maisha magumu, lini yalikuwa mepesi?

Wanasiasa, akiwamo rafiki yangu Zitto Kabwe, wanasema Rais John Magufuli, ameongeza ugumu wa maisha. Wanahadharisha juu ya idadi ya watu wanaoachishwa kazi katika hoteli, viwanda na sekta mbalimbali kwa miezi michache hii ya uongozi wake. Zinatolewa sababu za mtikisiko huo,…

Yah: Magufuli nadhani umelogwa, siyo bure

Sasa hivi najaribu kutafakari maisha baada ya awamu ya tano kushika dola ya nchi, ikiwa na mipango yake ya utekelezaji wa Ilani ya CCM, chama ambacho kimekuwapo madarakani kwa miongo kadhaa ya utawala kama huu. Kuanzia mwezi Julai mwaka jana…

Uhuru ni haki na ukweli

Unaponyima haki kutendeka ukweli unaruhusu dhuluma na unabariki upendeleo kutawala unafsi. Ni sawa na kufanya choyo, hiyana na batili kwa mtu mwengine.  Uamuzi au tendo la jambo kama hilo, ukweli unahalalisha chuki kujijenga, unaruhusu mgawanyiko wa watu na unavunja udugu,…

Trump: Jipu kubwa Marekani

Alivyoanza alionekana kama mtoto anayeng’ang’ania kukesha kwenye ngoma ya watu wazima, lakini katika mchakato wa uchaguzi unaoendelea nchini Marekani sasa, Donald Trump anatishia kusambaratisha hali iliyozoeleka kwenye siasa za taifa hilo. Si mara ya kwanza kwa Trump kujaribu kugombea nafasi…

Pluijm: Misri ni vita

Kocha Mkuu wa Yanga, Hans van der Pluijm amesema anakwenda Misri na timu yake vitani kuisambaratisha Al Ahly ambayo itakuwa mwenyeji wao katika mchezo wa mkondo wa pili wa Ligi ya Mabingwa Afrika. Timu hizo zilitoka sare ya bao 1-1…