JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Dhambi hii ya kuiua Serengeti iepukwe

Katika toleo lililopita la gazeti hili, miongoni mwa habari zilizoripotiwa kwa ukubwa wa pekee ilihusu kifo kinachoikabili Hifadhi ya Taifa Serengeti (Senapa). Habari hiyo ilikuwa na picha zilizoonesha makundi ya ng’ombe wakiwa ndani ya Hifadhi; na alama za mipaka zilizo…

Ujanja wa SABmiller mabosi wa TBL

Kampuni ya SABmiller haitafuni kwa bahati mbaya matunda ya kodi pekee kutoka nchi zinazoendelea.  Mikakati yake ya kukwepa kodi ni zaidi ya kawaida, kwani inatumia njia ya kampuni zinazohusiana na kampuni hiyo zilizozoko sehemu mbalimbali duniani. Kadhalika, inatumia Kundi la…

Barua ndefu kwa Rais Dk. John Magufuli

Ustaarabu wetu adhimu wa Kiafrika tuliourithi kutoka kwa wahenga wetu, unatutaka vijana kuwa na heshima na kufanya maamkizi kwa wakubwa. Shikamoo Mheshimiwa Rais John Pombe Magufuli. Ninakuandikia barua hii nikifahamu pasi shaka yoyote kuwa kamwe hutaishangaa. Kama ujuavyo, uandishi wa…

Wabunge kudai hongo ni matokeo ya mfumo

Hatimaye Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) imewafikisha mahakamani wabunge watatu ambao ni wajumbe wa Kamati ya Hesabu za Serikali za Mitaa kwa mashitaka ya kushawishi na kuomba rushwa ya Sh 30,000,000. Tunaambiwa wakiwa katika hoteli ya kitalii…

DC Ngorongoro ajibu tuhuma

Kuna taarifa iliyoripotiwa na Gazeti la JAMHURI toleo la Machi 22, 2015 ikiwa na kichwa cha habari: “Barua ya wazi kwako Rais John Magufuli (1)”. Barua hiyo ilikuwa na mambo kadha wa kadha yaliyoutuhumu uongozi wa Wilaya ya Ngorongoro na…

Mgombea urais huyu hatari

Mwaka huu taifa kubwa lenye ushawishi mkubwa katika ulimwengu wa leo, Marekani, watafanya uchaguzi wa Rais, kuchukua nafasi ya Rais Barrack Obama.  Kule Marekani uchaguzi wao unafanyika mwezi Novemba, lakini madaraka wanakabidhiana tarehe 20 Januari ya mwaka unaofuata. Wagombea kinyang’anyiro…