Latest Posts
Polisi : Taarifa wagombea Katavi, Kigamboni ni za kutengeneza
Zipo taarifa kwenye mitandao ya kijamii na vyombo vingine inayoonyesha kutolewa na Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Katavi, Roda Kunchela ikieleza kuwa, mgombea wa Mtaa wa Miembeni Kilimahewa kupitia CHADEMA, Nsajigwa Mwandembwa alikamatwa na Polisi akiwa nyumbani kwake. Aidha, ameeleza…
Rais Samia kufungua mkutano mkuu wa Chama cha Majaji na Mahakimu wa Afrika Mashariki
Na Zulfa Mfinanga, JamhuriMedia, Arusha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuwa mgeni Rasmi kwenye Mkutano Mkuu wa 21 wa chama cha majaji na mahakimu wa Afrika Mashariki (EAMJA) unatarajiwa kufanyika jijini hapa kuanzia…
Israel yaishambulia Hezbollah licha usitishwaji mapigano
Wakati maelfu ya raia wa Lebanon wakirejea kwenye makazi yao, Israel imesema inaendelea kupambana na wanamgambo wa Hezbollah licha ya makubaliano ya kusitisha mapigano. Kulingana na taarifa iliyotolewa na msemaji wa jeshi la Israel Daniel Hagari, wanajeshi wa Israel jana…