JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

ATCL inavyotafunwa

Wiki iliyopita, Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Profesa Mussa Assad, aliwasilisha bungeni Ripoti ya Mwaka ya CAG ya mwaka ulioishia Juni 30, 2015. Kama ilivyo ada, ripoti hiyo imesheheni mambo mengi. JAMHURI inawaletea wasomaji baadhi ya…

Rais Magufuli kaza kamba reli

Sitanii, wiki hii kama kuna jambo limeniburudisha basi ni taarifa hii ya Kaimu Mkurugenzi wa Mawasiliano Ikulu, Gerson Msigwa, aliyoitoa Dar es salaam tarehe 25 Aprili, 2016. Na kabla sijafafanua nilichokifurahia, naomba kwa ruhusa yako niinukuu neno kwa neno kama…

TFS anzeni kukamata malori Kwa Musuguri

Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) bado una watendaji dhaifu. Wanatakiwa kusimamia sheria ili watumiaji wa mazao ya misitu wazingatie yaliyomo kwenye Sheria ya Misitu Namba 14 ya mwaka 2002 ambayo pia inatambulika kama Sheria ya Misitu Sura Namba…

Waziri Kitwanga cheo ni dhamana

Katika kipindi cha mwezi mmoja sasa, Watanzania wameshuhudia sakata la Kampuni ya Lugumi iliyopata tenda Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi. Kutokana na sakata hili kushika kasi, tumeweza kuona jinsi mkataba huo unavyosumbua viongozi wetu kimyakimya, huku Waziri wa…

Waliokula fedha za rada watumbuliwe

Wakati wa Serikali ya Awamu ya Nne nilijitahidi kuyapigia kelele masuala mbalimbali ya elimu. Lakini hayupo aliyejali lakini hali hiyo haikunikatisha tamaa. Namkumbuka vyema William Wilberforce, yule mbunge wa Bunge la Uingereza. Huyu hakuchoka kupigania Uingereza ipitishe sheria ya kukomesha…

Chuo cha Mandela ni ‘shamba la bibi’

Ufisadi wa kutisha na matumizi mabaya ya madaraka vimebainika kuwapo katika Taasisi ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela (NM-AIST) ya jijini Arusha, JAMHURI inawathibitishia wasomaji. Pamoja na kununuliwa kwa vifaa vya mabilioni ya shilingi ambavyo, ama havitumiki, au vipo…