JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Mwafrika bado “Le Grande Enfante”

Enzi za ukoloni, Wafaransa walitawala zaidi nchi zile za Afrika Magharibi. Mtindo wao wa kutawala ulikuwa tofauti sana na ule wa Waingereza tunaolijua sisi huku Afrika Mashariki. Kwa Wafaransa waliwachukulia Waafrika wasomi kama wenzao ndiyo maana Waafrika wasomi waliweza kuwa…

Yah: Serikali lazima itishe watu ili mambo yaende

Kuna wakati niliwahi kumsikia Mwalimu Julius Nyerere akihutubia wananchi juu ya kulipa kodi. Katika hili alisema serikali ni lazima wawe wakali ili kila mtu aweze kulipa kodi, kodi ni kwa maendeleo ya nchi na watu wake, haiwezekeni Serikali icheke na…

Umoja wa dhati ni muhimu

Jumapili iliyopita wafanyakazi kote nchini waliadhimisha Sikukuu ya Wafanyakazi Duniani, Mei Mosi. Kitaifa ilifanyika Uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma ambako wananchi na wafanyakazi walikusanyika kuwakumbuka wafanyakazi duniani, waliokataa dhuluma na kukata minyororo ya mateso na kuweka misingi ya kudai haki…

Tujikomboe kutoka kwenye utumwa wa mawazo

Leo natafakari maana isiyo rasmi ya uzungu; maana ambayo hutumika sana kwenye matumizi ya kila siku ya lugha ya Kiswahili. Ni uzungu kama sifa ya kubainisha tabia nzuri ya binadamu miongoni mwa jamii. Siku kadhaa zilizopita, nilisimamisha gari pembeni mwa…

Polisi Oysterbay ilivyouzwa

Mkataba wa utwaaji wa eneo la Kituo cha Polisi Oysterbay, Dar es Salaam uliofanywa na kampuni ya Mara Capital kutoka nchini Uganda, unatajwa kuwa miongoni mwa mikataba hatari iliyotekelezwa wakati wa uongozi wa Awamu ya Nne. Mwishoni mwa wiki iliyopita…

Dangote amponza Kairuki TIC

Wakati aliyekuwa Mkurugenzi wa Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC), ametajwa kutenguliwa uteuzi wake kwa kukataa kuchukua mshahara wa Serikali kwa miaka mitatu mfululizo, uchunguzi umebaini kuwa jipu la kusamehe kodi Kampuni ya Saruji ya Dangote ndilo lililomwondoa. Uchunguzi uliofanywa na…