Latest Posts
JINSI RAIS MAGUFULI ALIVYOFANYA ZIARA YA GHAFLA BANDARINI DAR ES SALAAM KUKAGUA MATANKI YA MAFUTA YA KULA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akiwasili eneo lenye matanki ya kuhifadhia mafuta ya kula baada ya kushushwa melini alipofanya safari ya ghafla kukagua uingizwaji na ugawaji wa ulipiaji wa ushuru bidhaa hiyo kwenye bandari…
Harbinder Singh Sethi Aondolewa Kwenye Kampuni ya IPTL
Mwenyekiti wa kampuni ya kufua umeme ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL), Harbinder Singh Sethi ameondolewa katika nafasi yake ya uenyekiti na bodi ya wakurugenzi wa kampuni hiyo, baada ya kushindwa kuhudhuria vikao vya bodi kwa miezi sita mfululizo tangu…
Platinum Credit
Vita ya mafuta Yahusisha wafanyabiashara vigogo Kamati ya Bunge sasa ‘yagawanyika’ Wajumbe baadhi waomba waondoke NA WAANDISHI WETU, DAR ES SALAAM Mpasuko umejitokeza ndani ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara na Mazingira; sababu kuu ikitajwa kuwa…
Platinum Credit yawaliza Watanzania
DAR ES SALAAM NA CLEMENT MAGEMBE Wafanyakazi wa Kampuni ya Mikopo ya Platinum Credit Ltd Tanzania wamelalamikia kitendo cha kampuni hiyo kuwatoza wateja wake riba kubwa na kushinikiza taasisi za umma kuingia katika mikataba ya mikopo kwa rushwa. Wafanyakazi hao…
Tusi gani la kututoa usingizini?
Desemba 6, mwaka jana Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, alitangaza uamuzi wa Serikali wa kuundwa chombo maalumu ili kusimamia eneo la kilometa za mraba 1,500 katika Pori Tengefu la Loliondo. Akasema: “Baada ya kupitia mifumo mbalimbali, timu ya wataalam ilipendekeza kuwa…