JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Vigogo wagawana Tazara

Vigogo katika Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia (TAZARA), wameuziana nyumba katika utaratibu ambao mmoja wao amenunua nyumba 18. Ofisa Masoko, George Makuke, ambaye kwa sasa amestaafu, amenunua nyumba 18 eneo la Idiga. Ofisa mwingine, Ezekiel Hosea, amenunua nyumba…

Kanisa la Wasabato linapodhulumu …

Mimi Baraka Mukundi, mkazi wa Arusha niliajiriwa na Kanisa la Wasabato Makao Makuu Arusha, Tanzania mwaka 1986. Niliendelea kufanya kazi na kanisa hilo katika vitengo vyake mbalimbali kwa kadri walivyokuwa wakinipangia kazi kulingana na taratibu za Kanisa za ajira. Kipindi…

TAKUKURU yawachunguza TBL

Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) imeanza kufanya uchunguzi wa kina kwa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) kuthibitisha habari za kiuchunguzi zilizofanywa na gazeti hili la JAMHURI na kubaini kuwa TBL wanatumia udhaifu wa sheria kukwepa kodi nchini….

Benki ya Ushirika K’Njaro matatani

Benki ya Ushirika Mkoa wa Kilimanjaro (KCBL) inakusudiwa kushitakiwa mahakamani kujibu tuhuma za kumdanganya mwanachama wa Benki ya Kijamii Vijijini (VICOBA) kuwa benki hiyo ingempatia mkopo wa Sh milioni 50. Mwanachama huyo, Vicent Mulamba, ameipa KCBL hati ya kusudio la…

Nani anamtuma Dk. Tulia?

Katika siku za karibuni imekuwapo mitafaruku kadhaa bungeni. Tumesikia habari za Spika wa Bunge, Job Ndugai, kuwa na mikwaruzano na Naibu Spika wa Bunge, Dk. Tulia Ackson. Nakumbuka Dk. Tulia alivyokuwa mbunge wa kwanza kuteuliwa katika vile viti 10 vya…

Rais Magufuli asikwazwe

Juhudi zinafanywa na watu mbalimbali kumkwamisha Rais John Magufuli. Tukio lililoibua gumzo kubwa nchini ni la uhaba wa sukari unaodaiwa kusababishwa na hujuma za baadhi ya wafanyabiashara wakubwa nchini. Tusingependa kuwa sehemu ya mgongano huu, lakini lililo wazi ni kwamba…