JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Majangili yateketeza Hifadhi

Athari za kupunguza maeneo ya Hifadhi Mchanganuo wa faida za maeneo yaliyohifadhiwa na zile za ufugaji yanaonesha wazi kuwa hifadhi ya maliasili ni sekta muhimu, pana na mtambuka.  Sekta hii ndio msingi wa kuwapo kwa maendeleo ya sekta nyingine nyingi…

Tuendeleze demokrasia (1)

Juzi juzi hapa, wakati naangalia runinga matangazo ya BBC, kulikuwa na majadiliano makali katika Bunge la Uingereza.  Kule kwanza kumetokea kashfa ile ya Panama. Nyaraka za Kampuni ya Mossack Fonseca zilizowataja vigogo waliokwepa kodi nchini kwao, na kupeleka fedha zao…

Ukombozi wa Mwafrika umetimia?

Kesho Mei 25 ni Siku ya Afrika, siku ambayo imewekwa na Umoja wa Afrika (AU) kwa nia ya kukumbuka na kutathmini nguvu na uwezo uliofanywa na Umoja huo katika harakati za kukomboa nchi za Bara la Afrika. Historia ya Umoja…

Yah: Mtu akibaki kimya ni vigumu kuelewa uwezo wake wa kutafakari mambo

Huwa napenda sana kuingia katika vikundi vya watu vinavyojadili hoja mbalimbali za siasa, michezo, jamii na utamaduni. Kuna wakati pia huwa najihusisha hata katika makundi yanayofanya majadiliano ya utani ili niweze kucheka. Mtu akibaki kimya ni vigumu kuelewa uwezo wake…

Kuporomoka maadili nini chanzo? (2)

Wazazi wengi wanaishia tu kwenye hatua ya kuzaa, hawaendelei na hatua ya kulea. Hapo tulio wengi tunachemka. Methali ya Kiswahili yatuambia hivi; ‘Kulea mimba si kazi, kazi ni kulea mwana’.  Wapo wazazi wanaojiita ni wazazi lakini hawatambui wajibu wao kama…

Ndugu Rais, tutakuombea utakapokuwa tayari!

Ndugu Rais, vitabu vyote vitakatifu vimeandika habari za Nabii Musa. Mwenyezi Mungu alipomwita kwenye kichaka kilichokuwa kikiwaka moto alimwambia: “Musa, hapo ulipo ni mahali patakatifu, vua viatu vyako!” Mafundisho ni mengi kutokana na tukio hilo, lakini hapa pia tunafundishwa kuwa…