JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Ndugu Rais nijaalie nimzike Wilson Kabwe

Ndugu Rais, sijaja hapa kumlilia Wilson Kabwe, la hasha. Nimekuja hapa ndugu Rais, kumzika Wilson Kabwe.  Katika kitabu cha Julius Kaizari kama kilivyotafsiriwa na Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, imeandikwa, “Mtu akifa huzikwa na mazuri yake yote. Mabaya yake hubaki yakizagaa…

Tuwaenzi waasisi Jumuiya ya Afrika Mashariki

Juma lililopita, asasi isiyo ya kiserikali – Afrika Mashariki Fest,  ilikutanisha wana wa Afrika Mashariki jijini Kampala, Uganda na kutambua mchango wa viongozi waliotangulia katika kuanzisha na kujenga umoja wa nchi za Afrika Mashariki – Kenya, Uganda na Tanzania –…

Mpango wa Taifa wa kuchochea ukuaji viwanda

Lengo la kufikia uchumi wa kujitegemea imekuwa ni dhamira ya Tanzania kwa muda mrefu. Hatua mbalimbali za kimaendeleo zimekuwa zikichukuliwa ili kufikia azma hiyo. Ili kufikia azma hiyo, Dira ya Taifa ya Maendeleo 2025 imebainisha  malengo matatu ambayo ni kuwaletea…

Tuendeleze demokrasia (2)

Hayo ndiyo yaliyoongolewa pale Dodoma na mengi mengineyo ndiyo yalitokea wakati ule hali ya hewa ilipochafuka huko Visiwani. Hali ile ilisababisha Mzee wetu Jumbe ajiuzulu uongozi; akaacha Urais wa Zanzibar, akaacha umakamu wa Rais wa Jamhuri na akaacha umakamu wa…

Mheshimiwa Rais Dk. John Magufuli, msaidie askari huyu

Gazeti la JAMHURI limepokea barua ya malalamiko ya askari wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), Joseph D. Bundara (JB/MT 80304PTE), aliyomwandikia Rais ili asaidiwe kupata haki yake. Hii ndiyo barua aliyomwandika Rais wa Jamhuri ya Muungano wa…

Mafanikio ya Yanga na Tanzania kuongezwa uwakilishi CAF

Tanzania kwa sasa inabebwa na Yanga katika anga za michuano ya kimataifa, kutokana na uwezo ambao wamezidi kuuonesha kwenye eneo hilo na ligi la hapa nyumbani. Hilo halina ubishi. Hiyo imekuja baada ya Yanga kufuzu kwa hatua ya makundi ya…