JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Ndugu Rais, Lila na Fila hazitangamani

Ndugu Rais wiki iliyopita nilikuomba unijalie nimzike Wilson Kabwe! Katika mrejesho nimepokea simu nyingi na ujumbe mwingi wa kutia moyo. Pamoja na upungufu wote tulioumbwa nao kama wanadamu, lakini tunapoandika tunachagua maneno kwa sababu lengo letu kubwa ni kujenga, si…

Kongwa: Kitovu cha Ukombozi Afrika

Kama tunaweza kuandika orodha ya kambi 10 muhimu kihistoria za kijeshi Afrika nzima, naweza kusema bila kusita Kongwa itakuwamo kwenye orodha hiyo. Hata kama sisi tukilala usingizi na historia yetu, viongozi wa nchi za Afrika kamwe hawatasahau Kongwa. Na hata…

Tuwasaidie wazee wayamudu maisha

Nianze kwa kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kutujaalia afya njema na amani kila kukicha. Kusema kweli hatuna budi sisi wanadamu kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa mema mengi anayotutendea ikiwa ni pamoja na uhai, ambao tumejaaliwa kuwa nao kutokana na neema na upendo…

Tuendeleze demokrasia (3)

Viongozi wa Tanzania kuanzia Baba wa Taifa, Mzee Mwinyi, Rais mstaafu Awamu ya Pili,na hivi sasa Rais mstaafu Awamu ya Tatu, Benjamin Mkapa wote hawa kwa namna moja au nyingine wamekuwa wanashughulikia usuluhishi kule Rwanda, Burundi, Sudan na Comoro.  Kumbe…

Tumefeli somo la ustaarabu

Kuna ‘kosa’ nimelitenda hivi karibuni. Kosa lenyewe ni la kuwakwida vijana wawili walioamua-bila soni- kujisaidia hadharani katika barabara tunayoitumia mtaani kwetu. Wale vijana sura zao zilikuwa ngeni kwangu. Nilipowakaribia, nilishuka katika gari na kuwauliza kwanini wameamua kujisaidia hadharani. Jibu lao…

Yah: Ukasumba wa kijinga wa kuiga kila kitu cha ajabu

Wiki kadhaa zilizopita, niliwahi kuandika hapa juu ya kasumba ya kudharau kilicho chetu na kuona cha watu wengine ni bora kuliko chetu. Niliwakumbusha maisha yetu ya kujitegemea siku chache baada ya Vita ya Uganda jinsi tulivyofunga mikanda na kujitegemea kwa…