JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Elimu na ubora wetu

“Kutengana na umaskini ni hali iliyo njema sana; na uchache wa afya kuwa katika mwili ni mashaka ambayo hayana mfano. Ubora wa ukubwa na rafiki katika Mahakama haulingani na kitu kingine chochote, na hata hushinda fedha iliyomo mfukoni ambayo haiwezi…

Wajibu wa Serikali yetu kugharimia elimu ya uraia

Mshirika mmoja wa mkutano wa uzinduzi wa kitabu kiitwacho Insha Tatu za Kifalsafa za Mwalimu Nyerere amerusha kombora zito dhidi ya wasomi na mijadala yao ya kisomi. Mama Anna Mwansasu alihoji desturi ya wasomi kuandaa mikutano kujadili masuala mbalimbali muhimu…

Atuzwa kwa kuisumbua Serikali (2)

Sehemu iliyopita, viongozi wawili katika Tarafa ya Loliondo waliandika waraka kupinga hatua ya Maanda Ngoitiko ambaye ni kiongozi wa asasi ya Pastoral Women Council (PWC), kupewa tuzo ya Front Line Defenders Award for Human Rights inayotolewa na Shirika la The…

Je siasa inamaliza soka la Tanzania?

Wiki iliyopita, Serikali ilisitisha kufanyika kwa mashindano ya vijana ya Umoja wa Michezo ya Shule za Msingi (Umitashumta) na ule wa shule za sekondari (Umisseta). Waziri wa Ofisi ya Rais Tamisemi, George Simbachawene, alitoa kauli hiyo kusitisha rasmi baada ya…

Nchi ilivyochezewa

Serikali ya Awamu ya Nne kupitia Wizara ya Maliasili na Utalii, ilibariki kampuni ya bilionea wa Kimarekani ya Wengert Windrose Safaris Tanzania Limited, kupewa uwekezaji wa kimkakati, kupitia vitalu vya uwindaji inavyomiliki, kikiwamo kimoja isichokimiliki kisheria. Agosti 20, mwaka jana,…

Kashfa ya nyumba NIC

Shirika la Bima la Taifa (NIC) limeingia katika kashfa ya kuhujumu mali za shirika hilo, ikiwamo ya kuuza nyumba bila kuzingatia maagizo yaliyotolewa na Serikali Oktoba, 2009. Nyumba zilizopangishwa kwa wafanyakazi wa Shirika hilo zilizoko eneo la Kijitonyama jijini Dar…