JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Maajabu ya Mbunge wa Karagwe

Katika hali isiyotarajiwa kwenye kizazi cha sasa, kizazi cha sayansi na teknolojia, kizazi kinachosifika kwa kuwa na maono mapana, Mbunge wa Jimbo la Karagwe (CCM), Innocent Bashungwa, amelishangaza Taifa na ndugu zangu Wanyambo. Bashungwa, kijana matanashati, mbunge kijana aliyepata fursa…

Mchezo mchafu vitalu Ziwa Natron

Mgogoro ulioibuka kati ya kampuni ya Wingert Windrose Safaris (Tanzania) Ltd (WWS) na Green Mile Safari Company Ltd (GM) unazidi kuibua maswali mengi baada ya kubainika kuwapo kwa mchezo mchafu ndani ya Wizara ya Maliasili na Utalii. Mchezo huo mchafu…

Ndugu Rais, hawa ndiyo viongozi wetu wa mwendo kasi?

Ndugu Rais kuna kiongozi mmoja alitamka bungeni kuwa Burundi isiitishe Tanzania, la sivyo tutapeleka jeshi kuiangamiza yote. Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere aliitembelea Burundi. Huko aliulizwa na mwananchi mmoja kwanini Tanzania ilitaka kuivamia Burundi. Maneno hayo yalitamkwa na…

Tusisahau historia hii (1)

Wasomaji wa makala zangu katika Gazeti la JAMHURI wamenisaidia sana mimi kujitambua ninavyoeleweka katika jamii. Ujumbe mfupi wa naandishi (SMS) nyingi zimenikomaza, zimenipa moyo na zimenijengea hali ya kujiamini kuwa ninatoa ‘material’ kwa somo la URAIA hapa nchini. Wale waliofaidika…

Anahitajika ‘Steven Wasira’ mwingine

Mengi yanazungumzwa. Yanailenga Serikali ya Awamu ya Tano inayoongozwa na Dk. John Magufuli. Mengine yanalilenga Bunge na hapa anaguswa Naibu Spika, Dk. Tulia Ackson. Haya si mambo ya kuachwa au kupuuzwa. Kuna majibu yanahitajika. Majibu yanaweza yakawa ya faragha, au…

Yah: Uhuru wa kidemokrasia na siasa za kila kuongea

Kuna wakati huwa nakumbuka hotuba fupi ya aliyewahi kuwa Mheshimiwa Rais wa Uganda enzi hizo, Idi Amin Dada, aliyesema Uganda ina demokrasia ya kuongea utakacho lakini baada ya demokrasia hiyo hujui nini kinachoendelea. Wengi tulimjua huyu bwana kwa ujuha wake,…