JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Tanzania tumefikishwa mahali pabaya

Kama tujuavyo, jina Tanzania lina maana mbili. Kwanza Tanzania ni Taifa, na Taifa ni jamii ya watu huru walio chini ya utawala mmoja.  Hapa tutaendelea kuwashukuru Mwalimu Julius Kabarage Nyerere na Sheikh Abeid Amani Karume walioongoza kwa usalama juhudi za…

Wananchi waipongeza JWTZ

Baada ya gazeti hili la JAMHURI kuchapisha habari kuwa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), limesambaza askari wake nchi nzima kuimarisha usalama na kupambana na baadhi ya watu waliotaka kulitia doa Taifa la Tanzania kwa kufanya mauaji ya…

Ndugu Rais tengua kauli yako

Ndugu Rais, tumwombe Mwenyezi Mungu atufundishe kunyamaza kwa sababu katika kunyamaza kuna kutafakari ili tusije tukamuudhi Muumba wetu katika kujibu.  Hakuna hata mmoja kati yetu aliyeomba azaliwe katika nchi hii. Tumekutana hapa kwa mapenzi ya Mungu mwenyewe tu. Hivyo, hakuna…

Tuzo ya Mo Ibrahim kaa la moto kwa viongozi wa Afrika

Wakati Bara la Afrika likiwaaga marais wastaafu watatu mwaka jana katika vipindi tofauti, kulikuwa na matarajio kwamba pengine mmoja miongoni mwa marais hao wastaafu angeweza kuondoka na tuzo ya Mo Ibrahim, hali imekuwa kinyume chake. Marais hao watatu waliostaafu kwa…

Tanzania na fursa ya mradi wa bomba la mafuta

Wafanyabiashara wakubwa duniani kote wamekuwa na kanuni moja ya kuwekeza katika nchi yenye miundombinu rafiki, ambayo itakuwa tija katika kusafirisha bidhaa zao kwa urahisi ili kufikia malendo yao. Kufuatia kipaumbele hicho katika kukuza uchumi wa nchi yoyote duniani, nchi zote zimekuwa…

Uvamizi maeneo ya hifadhi janga la Taifa

Uvamizi katika maeneo yaliyohifadhiwa kisheria na kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977 ibara ya 27, umeendelea kushika kasi huku kukiwa hapo na tishio la kuongezeka kwa migogoro ya matumizi ya ardhi baina ya…