JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Yah: Uteuzi wa viongozi wa awamu ya tano ni hapa kazi tu

Moja kati ya misingi ninayoamini mimi ni kwamba utumishi wa umma ni thamani na siyo utumishi wa moja kwa moja au kurithi. Mimi ni muumini wa demokrasia ya uongozi wa Taifa kwa maana ya kila mwenye uwezo apate nafasi alitumikie…

Bandari Dar balaa

Uongozi mpya wa Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) unahitaji kufanya kazi ya ziada kudhibiti mapato kwani maafisa wengi walioajiriwa katika Bandari mbalimbali nchini wana mbinu chafu za kutisha zinazoikosesha nchi mapato. Uchunguzi uliofanywa na JAMHURI umebaini kuwa kwa makusudi baadhi…

Ripoti ya Warioba ya Rushwa inatisha (2)

Katika sehemu ya kwanza ya ripoti hii, tulikuletea hadidu rejea alizopewa Jaji Joseph Warioba na wajumbe wenzake wa Tume ya Kuchunguza Kero ya Rushwa Nchini na sehemu ya vyombo vya dola vilivyotajwa kuwa wanakula rushwa. Katika sehemu ya pili leo,…

Meja Jenerali Milanzi apigilia msumari mgogoro wa kitalu

Katibu Mkuu, Wizara ya Maliasili na Utalii, Meja Jenerali Gaudence Milanzi, amesema msimamo wa Waziri wa wizara hiyo wa kurejesha kitalu cha uwindaji wa kitalii kwa kampuni ya Green Miles Safaris Limited, ni sahihi, umezingatia sheria na hauwezi kutenguliwa. Amesema…

Hoteli yamjaribu JPM

Hoteli ya kitalii ya Ramada iliyopo Mbezi Beach, Dar es Salaam imeajiri wageni wasio na vibali vya kufanya kazi husika nchini. Abdul Saleem Aboonhi Kollarathikkal, raia wa India mwenye hati ya kusafiria namba Z1873501 ameajiriwa katika Hoteli ya Ramada kama…

Uingereza wamechagua kunywa sumu

Moja ya hotuba za Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere zinazowakuna Watanzania ni ile ya Dhambi ya Ubaguzi. Mwalimu Nyerere aliwaonya Watanzania kuepuka dhambi ya ubuguzi. Alituasa Watanzania kuwa ubaguzi ni sawa na kula nyama ya mtu, ukiishaanza hauachi….