JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Rais Magufuli umemsikia Kikwete!

Wiki iliyopita Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimemchagua Rais John Pombe Magufuli kuwa Mwenyekiti wake. Uchaguzi huu umehitimisha minong’ono iliyokuwapo kitambo kuwa Mwenyekiti aliyemaliza muda wake, Rais (mstaafu) Jakaya Kikwete alikuwa na nia ya kung’angania madarakani. Rais Magufuli amepigiwa debe kuomba…

Ndugu Rais wapiganie watu wake naye atakupigania

Ndugu Rais dhamira yako njema kwa nchi yetu na watu wake wanawema wote wanaiona. Ugumu uliopo mbele yako katika kutekeleza dhamira hiyo njema pia wanawema wanauona. Umesongwa na kuzingirwa kila upande. Umefanana na waridi lilisongwa na michongoma yenye miiba mikali…

Serikali kuhamia Dodoma muhimu

Wiki iliyopita Rais John Pombe Magufuli, ambaye sasa ni Mwenyekiti wa CCM ametoa ahadi nzito kuwa atahakikisha Serikali inahamia Dodoma katika kipindi cha miaka minne ijayo. Rais Magufuli ametoa ahadi hiyo katika Mkutano Mkuu Maalum wa Chama Cha Mapinduzi (CCM),…

Dk. Jane asimulia Sokwe wa Gombe

Jumanne Rashid ambaye mwaka 1960 alikuwa kijana mdogo, alikuwa Gombe, alimsaidia Dk Jane Goodal katika kutoa mizigo kwenye meli na kuandaa kambi kando ya Ziwa Tanganyika kwa ajili ya utafiti, kama ilivyoandikwa katika gazeti hili la JAMHURI wiki iliyopita. Dk….

Taasisi ya Moyo: Tumaini kwa Watanzania

Miaka kumi iliyopita Serikali imetumia Sh bilioni 2.5 kupeleka wagonjwa wa moyo kutibiwa nje ya nchi, hasa nchini India.  Takwimu kutoka Wizara ya Afya, Ustawi wa Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, zinaonyesha kuwa kati ya Januari mpaka Juni 2016, Serikali…

Wasifia kituo cha Mwendokasi

WAKAZI wa Jiji la Dar es Salaam wanaotumia kituo cha Mabasi cha Gerezani, Kariakoo kilichopo Wilaya ya Ilala wamevutiwa na mazingira bora ya kituo hicho, na baadhi wamependekeza magari ya mwendokasi yaende Mbagala, Ukonga, Mwenge na Buguruni.  Wameitaka Serikali kuendelea…