JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Tulipe kodi kwa maendeleo yetu

Awali ya yote naomba nichukue nafasi hii kwa kupitia Gazati hili la JAMHURI niweze kutoa shukrani zangu za dhati kwa Mwenyezi Mungu ambaye anatukrimia mema mengi katika maisha yetu ya kila siku.  Naamini kwamba tunaweza kuyamudu maisha yetu ya kila…

“TUEPUKE SUMU HIZI” (2)

Katika kikao kimojawapo cha KAMATI KUU ya TANU, Sheikh Takadiri alidiriki kusema hivi “mtu huyu hatakuja kuwapendelea waislamu” (This man will never come to favour us, he would come to favouri his brethren); Mwalimu aliumizwa kwa mashtaka namna ile hata…

Itikadi, kansa kwa viongozi wa kisiasa

Ni vyema nianze kwa kuweka wazi kwamba nilikuwa sijawahi kuwa mwanachama wa chama chochote cha siasa hadi katikati ya mwaka 2016. Ilikuwa tukio la kihistoria kwangu baada ya kuvifuatilia kwa kina vyama vyote kwa muda mrefu. Katika kuelezea kilichonisukuma hadi…

Yah: Kuhamia Dodoma itawezekana kwa siasa zetu?

Nimeanza kwa swali hili kutokana na ukweli wa mfumo wetu wa demokrasia kuhoji kila jambo ambalo pengine baadhi yetu tunadhani haliwezekani kutokana na uwezo wetu wa kutafakari mambo. Kuna wakati mwingine kunazuka hoja za msingi, lakini kwa maana ya kupata…

Ni woga au ukweli?

Wanasiasa na wasio wanasiasa walishuhudia kuona na kusikia hekaheka zilizofanywa na Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika kuandaa, kuendesha na kusimamia Mkutano Mkuu Maalum wa kumchagua Mwenyekiti wa Chama hicho, wiki iliyopita mjini Dodoma. Katika utamaduni waliojiwekea wanaCCM, walimchagua kada mwenzao,…

Butiama inahitaji Zimamoto

Mwaka 2008 Serikali ya Awamu ya Nne ya Mzee Jakaya Kikwete, ilipitisha uamuzi wa kuanzishwa kwa wilaya mpya ya Butiama. Baadhi, na siyo wengi, hatukuunga mkono uamuzi huo. Waliyo wengi walifurahia uamuzi huo. Ambao hatukuunga mkono tulitaja uhaba wa ardhi…