Latest Posts
INEC yaonya wanaojiandikisha mara mbili daftari la wapiga kura
Tume ya Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imewatoa rai kwa wananchi kutojiandikisha zaidi ya mara moja katika Daftari la Kudumu la Wapiga Kura litakaloanza katika Desemba 11 -17 mwaka huu kwenye mikoa ya Arusha, Kilimanjaro na Dodoma . Aidha…
Mamlaka za usafirishaji majini barani Afrika zatakiwa kushirikiana kuboresha huduma
📌 Dkt. Biteko afungua Kongamano na Mkutano Mkuu wa 7 wa AAMA 📌 Awataka washiriki kubuni mbinu za kukabili changamoto zilizopo 📌 IMO yaahidi kuendeleza ushirikiano kukabiliana na changamoto Bahraini 📌 Dar es Salaam yampongeza Rais Samia kuboresha Bandari, kupunguza…
Shule za msingi 139 Mbinga kupewa kompyuta
📌 Kapinga asema lengo ni kuchochea kasi ya ukuaji wa Elimu 📌 Aweka Jiwe la Msingi ujenzi wa nyumba ya Mwalimu Shule ya Mbungani 📌 Asema miradi ya maendeleo itawafikia wananchi wote bila kuangalia umbali Naibu Waziri wa Nishati ambaye…
Biden: Ukraine inahitaji kuendelea kusaidiwa kwa udharura
Rais wa Marekani Joe Biden amesema, mashambulizi ya hivi karibuni ya Urusi dhidi ya Ukraine yanaonyesha dharura ya kuiunga mkono Ukraine. Rais wa Marekani Joe Biden amesema, mashambulizi ya hivi karibuni ya Urusi dhidi ya Ukraine yanaonyesha dharura ya kuiunga…
Tanzania yapanda Kenya yashuka katika orodha mpya ya FIFA duniani
Timu ya taifa ya Kenya ya mpira wa miguu Harambee Stars imeshuka kwa nafasi mbili katika viwango vya hivi punde vya FIFA vilivyotolewa Alhamisi na Shirikisho la Soka Duniani. Timu ya taifa ya kandanda sasa iko katika nafasi ya 108,…
CPA Makalla ataja sababu za CCM kushinda kwa kishindo
Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam KATIBU wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi (CCM), CPA Amos Makalla amesema kuwa, chama hicho kimeshinda kwa kishindo kutokana na maandalizi waliyoyafanya pamoja na kuzitumia 4R za Rais wa Jamhuri…