JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Mkaa: Hata misitu sasa inalia (1)

Siku chache zilizopita, Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Misitu Tanzania (TFS), Profesa Dos Santos Silayo; na Mkurugenzi wa Mipango na Matumizi wa TFS, Mohamed Kilongo, wametangaza mpango kamambe wa kuratibu biashara na matumizi ya mkaa nchini. Taarifa ya wataalamu hao…

Yah: Kikulacho ki nguoni mwako kiongozi wangu, tambua hilo

Kuna wakati nilipata kuwa monita wa darasa langu miaka hiyo ya zamani, uongozi ule nilidumu nao kwa muda wa wiki moja hivi kabla sijatumbuliwa na mwalimu mkuu mbele ya wanafunzi wenzangu asubuhi ya paredi, niliahidiwa kupewa kazi nyingine na baada…

Kuonesha kisirani mazikoni, ni mwake?

Kwanza naungana na familia, ndugu na Watanzania wote katika kuomboleza msiba uliotufika wa kufiwa na mzazi wetu, ndugu yetu, rafiki yetu na kiongozi wetu mpendwa, Alhaj Aboud Jumbe Mwinyi, wiki iliyopita. Inna Lillahi Wainna Ilayhi Raajiuun. Mauti ni faradhi na…

Kuondoka Acacia aibu kwa wana Shinyanga

Kampuni ya uchimbaji madini – Acacia Gold Mine, imetoa notisi ya kutaka kujiondoa kuidhamini klabu ya Stand United ya mkoani Shinyanga, kutokana na mgogoro unaoendelea kufukuta klabuni hapo. Acacia Gold Mine, imetangaza kuvunja mkataba wa udhamini huo endapo klabu hiyo…

Magufuli, Kagame moto

Uhusiano kati ya Tanzania na Rwanda umeimarika kwa kiwango cha hali ya juu na sasa Rais wa Rwanda, Paul Kagame amekubaliana na Rais wa Tanzania, Dk. John Pombe Mafuli mizigo yote ya nchi hiyo ianze kupitia Bandari ya Dar es…

RIPOTI YA RUSHWA YA JAJI WARIOBA – 7

Uteuzi unanuka upendeleo serikalini   Ukiukwaji taratibu na udhaifu katika usimamizi  80. Sheria na taratibu za utumishi zilizowekwa na Serikali kimsingi ni nzuri na endapo zinatekelezwa ipasavyo, utendaji wa Serikali utakuwa mzuri. Kinyume na matakwa ya sheria na taratibu hizo,…