JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Serikali kufufua NASACO Bandari

Serikali inakusudia kufufua Shirika la Taifa la Uwakala wa Meli (NASACO), katika jitihada za kuboresha huduma katika Bandari ya Dar es Salaam kuhudumia wateja wake kwa ufanisi zaidi. Akizungumza na wahariri, Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari (TPA),…

Asante Lukuvi, umeokoa wanyonge Bukoba

Mpendwa msomaji, niwie radhi wiki hii nalazimika kuandika SITANII ndefu kidogo, na SITANII ya leo itakuwa na vionjo tofauti na zilizotangulia. Nitangaze maslahi pia, kuwa katika hili ninayo maslahi nitakayoyaeleza punde, lakini nitangulie kusema nampongeza na kumshukuru Waziri wa Ardhi,…

Bunge hali tete

Tunashukuru Ofisi ya Bunge imeendelea kuwathibitishia Watanzania kuwa ina matatizo ya kiutendaji. Safari hii Mkurugenzi wa Ofisi ya Spika, Said Yakub, ambaye kimsingi si Msemaji wa Ofisi ya Bunge, amekiri kuwa kuna watoto wa vigogo, ingawa anadai taratibu zimefuatwa kuwaajiri….

Ndugu Rais, tafuteni kwanza ufalme wa mbingu!

Ndugu Rais, tafuteni kwanza ufalme wa mbingu, ya dunia mtayapata kwa ziada! Tangu kutangazwa kwa Septemba mosi, nchi imekuwa ni ya mijadala isiyokwisha huku wapofu wakionesha nguvu zao. Mnagombania kuwatawala waja wa Mwenyezi Mungu kwa kudhani mnaweza kwa nguvu zenu!…

Rais Magufuli, kughairi si kushindwa

Mheshimiwa Rais,   Nimechukua hatua hii ya kukuandikia waraka wa wazi nikiwa na kumbukumbu mbaya ya maafa yaliyotokea miaka 15 iliyopita. Januari 27, 2001 Chama cha Wananchi (CUF) kiliandaa maandamano ambayo Serikali ya wakati huo haikuyaridhia. Sote ni mashahidi kwamba…

Kusoma si kuelimika (1)

Serikali ya Awamu ya Tano sasa imekamilisha safu yake ya watumishi wa kuiendesha, Rais John Magufuli alichukua muda wa wiki/miezi kadhaa kabla hajateua wasaidizi wake na kuunda Baraza lake la Mawaziri. Baada tu ya kujenga Serikali yake kwa kuteua Mawaziri…