JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Yah: Bado kuna umuhimu wa kukumbushana mambo ya msingi

Kuna wakati huwa nakumbuka jitihada za Serikali kutukusanya pamoja katika vijiji vya Ujamaa miaka ile ya operesheni sogeza vijiji, ili wananchi tupate huduma za jamii wote kwa pamoja zilizokuwa zikitolewa bure na Serikali, huduma za maji, elimu, afya na ulinzi. Operesheni…

Samatta kuitangaza Tanzania ughaibuni

“Kuwa mbali na umaskini, ni hali iliyo njema mno.  Na afya kama haba mwilini, ni taabu haina mfano.  Kuwa na rafiki sheriani, uborawe si wa mlingano. Hushinda fedha ya mfukoni isiyoweza kutenda neno.   Na laiti si machukiano, tungalikuwa wote…

Samatta kuitangaza Tanzania ughaibuni

Serikali sasa imeamua kumtumia Mbwana Samatta katika kuuza utalii wa Tanzania duniani. Samatta anasakata soka katika klabu ya Genk, Ubelgiji.  Wizara ya Maliasili na Utalii kupitia Bodi ya Utalii, imetangaza nia ya kuanza kumtumia mchezaji huyo pekee anayecheza soka la…

Matapeli wa madini

Magenge ya matapeli kwenye biashara ya madini, yameibuka na kuendesha shughuli zake bila hofu. Uchunguzi uliofanywa na JAMHURI umebaini kuwapo kwa matukio ya utapeli na kuifanya sifa ya Tanzania izidi kuchafuka mbele ya jumuiya ya kimataifa. Mwaka 2013, JAMHURI lilichapisha…

RIPOTI YA RUSHWA YA JAJI WARIOBA – 9

Polisi waliiharibu TAKUKURU   YALIYOJITOKEZA   154. Tume imetafakari kwa undani muundo wa taasisi na shughuli za kurugenzi zote. Katika kufanya hivyo, umuhimu wa Kurugenzi ya Mafunzo, Utafiti na Elimu kwa Umma umetiliwa maanani hasa kwa kuzingatia jukumu lake zito…

Polisi wakiwa matapeli, wananchi wafanyeje?

Habari iliyochukua uzito wa juu kwenye gazeti hili toleo la leo inahusu vitendo vya utapeli kwenye biashara ya madini. Jambo la kusikitisha ni kusikia kuwa kwenye genge la matapeli hao wamo watumishi wa Serikali, hasa kutoka Jeshi la Polisi. Hizi…