JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Ndugu Rais umefanya vema kuwaonesha viongozi wa dini mipaka yao!

Ndugu Rais, siku ya kuoneshana shari imepita! Busara kubwa imetumika kuipisha siku ya kihoro! Lakini tukiendeleza hali hii, siku za aina hiyo zitakuwa nyingi huko tuendako! Hatujui wana busara kubwa kiasi gani, lakini kwa hili walioitikia ushauri wa viongozi wengine…

Wanahabari, wadau wa utalii tuwajibu Wakenya

Kwa muda mrefu nimekuwa na tabia ya kutazama luninga na kujisomea magazeti ya Kenya, si tu kwamba nijiongezee ufahamu wangu kama mwandishi wa habari, bali pia ni kutokana na ukweli wa kuwahi kufanya kazi na kampuni moja kubwa ya habari…

Uchaguzi waacha sintofahamu Gabon

Pamoja na kila mgombea kujitangaza mshindi katika uchaguzi wa urais nchini Gabon, hatimaye Tume ya Uchaguzi ya Gabon (CENAP) imemtangaza Rais Ali Bongo kuwa mshindi wa uchaguzi kwa kujipatia asilimia 49.85 ya kura ikilinganishwa na mpinzani wake Jean Ping aliyepata…

Donald Trump asuguana na Mexico

Mgombea urais wa chama cha Republican nchini Marekani, Donald Trump, amesisitiza kwamba Mexico italipia ukuta utakaojengwa mpakani kuzuia raia wake kuingia Marekani asilimia 100 iwapo atashinda urais. Wakati wa hotuba yake muhimu kuhusu sera ya uhamiaji, Trump anasema atafutilia mbali…

Kusoma si kuelimika (3)

Kumbe, mwanadamu huyu anaweza kutumia vitambulisho hivyo isivyostahiki eti arahisishe maisha yake. Ndipo anaweza kugushi hati na akafanikiwa kudanganya akapata riziki kwa kazi asiyokuwa na ujuzi nayo. Hapo ndipo anapotumia vyeti au hati feki. Aidha ana utambulisho sahihi (hati au…

Kumbe inawezekana

Rais John Magufuli, alipoapishwa kuongoza Taifa letu, nilisema endapo sheria za nchi zitatambuliwa, kuheshimiwa na kusimamiwa, kazi yake ya kuongoza haitakuwa ngumu. Kweli, siku chache baada ya kuingia madarakani, yapo mambo mengi mazuri aliyoyafanya kwa nia moja tu ya kuirejesha…