JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Bandari kutaneni na wadau kunusuru uchumi

Katika siku za hivi karibuni kumekuwa na minong’ono kuhusu kupungua kwa shehena ya mizigo katika bandari ya Dar es Salaam, hali hiyo imeendelea hata baada ya  Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara na Mazingira kuitembelea bandari mwishoni mwa…

Trafigura yashinda zabuni ya mafuta

Kampuni ya Trafigura PTE Ltd imeshinda zabuni ya kuleta mafuta hapa nchini mwezi Oktoba, kampuni hiyo imeshinda zabuni hiyo baada ya kushiriki kwa miaka minne bila mafanikio. Zabuni hiyo yenye thamani ya Dola za Marekani milioni 6,899,208, ilishindaniwa na makampuni…

Mabadiliko Bandari

Mkurugenzi Mkuu wa Bandari, Mhandisi Deusdedit Kakoko amefanya mageuzi makubwa katika Bandari ya Dar es Salaam, sasa magari yanaruhusiwa kutolewa kwa saa 24. Taarifa zilizolifikia JAMHURI zinasema Mhandisi Kakoko ametoa maelekezo mahususi kwa watumishi wa Bandari ya Dar es Salaam…

Samahani Mheshimiwa Rais Magufuli

Naandika makala hii dakika chache baada ya kufika jijini Accra, Ghana. Nimetoka Dar es Salaam jana na juzi nilisikia maneno aliyozungumza Mheshimiwa Rais John Pombe Mafuguli, alipopata fursa ya kutembelea Pemba kushukuru wapigakura. Nikiri kwanza kwamba Rais wetu anafanya jambo…

Tafakuri ya miaka 20 ya Mamlaka ya Mapato Tanzania

Mengi yamesemwa katika miezi minane iliyopita juu ya mafanikio ya Serikali ya Awamu ya Tano inayoongozwa na Dk. John Pombe Magufuli (JPM) katika ukusanyaji wa kodi. Mara tu baada ya JPM kuchukua hatamu za uongozi tulishuhudia hatua mbalimbali zikichukuliwa baada…

Serikali za Mitaa ndio injini ya maendeleo

Mada ya Mzee Zuzu wa Kijiji Kipatimo juu ya: “Kuhamia Dodoma itawezekana kwa siasa zetu?” Naandika kuhusu maoni yako uliyotoa katika Gazeti la Jamhuri (Augusti 2 – 8, 2016). Umesema kwamba unakubaliana na dhana ya kuhamishia Makao Makuu ya Serikali…