JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Poleni Bukoba, tuchunge wapigaji!

Leo imepita karibu wiki moja tangu lilipotokea tetemeko la ardhi mkoani Kagera, hasa Wilaya ya Bukoba. Tetemeko hili limeacha majonzi makubwa.  Taarifa nilizosoma kwenye mtandao zinaonesha kuwa watu wapatao 17 wamepoteza maisha, zaidi ya 200 wamejeruhiwa na nyumba zaidi ya…

RATIBA YA SERIKALI KUHAMIA DODOMA

Mheshimiwa Spika, ili kufanikisha azma ya Serikali kuhamia Dodoma, tayari imeandaliwa ratiba itakayowezesha Serikali kuhamia Dodoma kwa awamu, kuanzia mwezi Septemba, 2016 hadi mwaka 2020, bila ya kuathiri bajeti yetu ya mwaka 2016/2017 kama ifuatavyo: Kwanza: Awamu ya Kwanza itakuwa…

Wasomi wampinga Mbowe

Wakati wa Kiongozi wa Kambi ya upinzani bungeni, Freeman Mbowe akimtaka Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kassim Majaliwa kukiri serikali kushindwa kuongoza nchi kutokana na kuwepo na viashiria vya kudorora kwa uchumi wasomi wamepinga kauli hiyo. Mbowe…

Ndugu Rais liondolee Taifa aibu hii!

Ndugu Rais ulipoingia tu madarakani uliwaambia masikini na wanyonge wa nchi hii kuwa nchi yao hii ni tajiri sana, hata inaweza kuwa mfadhili wa kuzifadhili nchi masikini. Lakini kwa uchungu ukasema nchi hii imeliwa vibaya mno kwa muda wa miaka…

Sheria zinazolinda misitu zisimamiwe bila woga

Awali ya yote sina budi kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa zawadi ya uhai na kutuwezesha – wewe na mimi – kuishi hadi leo. Wengi walitaka wawe hai, lakini haikuwezekana; hivyo ni jukumu letu tunaoishi kumshukuru Mungu bila kikomo kutokana na rehema…

U-kinyonga na u-popo ni hatari

Sisi wanadamu tunajua sana viumbe hawa wawili – kinyonga na popo. Tunaishi nao. Kila kiumbe ana tabia na sifa maalumu zinazowatofautisha na wanyama au viumbe wengine. Kinyonga anajulikana sana kwa ile hali yake ya kujibadilisha badilisha rangi ya ngozi yake…