JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

ATCL karibuni tena angani

Serikali imezindua ndege mbili za Kampuni ya Ndege ya Tanzania (ATCL) zinazotarajia kuanza kufanya safari zake katika mikoa mbalimbali nchini. Ndege hizo aina ya Q400 zimetengenezwa na kampuni ya Bombardier iliyoko nchini Canada. Baada ya jitihada za Serikali katika kuhakikisha…

Yatakayomkwamisha Rais Magufuli – 4

‘Uongozi ndiyo unaozaa utawala’   Mwalimu Julius Kambarage Nyerere alisema ili tuendelee tunahitaji vitu vinne – watu, ardhi, siasa safi na uongozi bora. Utandawazi umetuletea wimbo mpya unaosisitizia utawala bora. Wazungu wametupotosha kwa mara yanyingine, wametuaminisha kwamba tunaweza kuwa na…

Kampuni za mafuta kudhibitiwa

Januari, 2016 Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ilikamilisha uanzishwaji wa Wakala wa Uagizaji Mafuta kwa Pamoja (Petroleum Bulk Procurement Agency- PBPA).  PBPA inatekeleza majukumu ya iliyokuwa kampuni binafsi ya kuratibu uagizaji wa mafuta ya petroli kwa pamoja (Petroleum…

Rais Magufuli Bukoba wanakutania

Nikiwa jijini Accra, Ghana katika toleo Na. 260 la Gazeti la JAMHURI, niliandika makala yenye kichwa hiki: “Poleni Bukoba, tuchunge wapigaji!” Hili ni toleo lililochapishwa Jumanne ya Septemba 20, 2016. Nilianza kupata wasiwasi kuwa huenda wakajitokeza watu wa kutumia janga…

Majibu: Serikali za Mitaa ndio Injini ya Maendeleo (1)

Tafadhali rejea mada yangu ya “Serikali za Mitaa ndio Injini ya Maendeleo”uliyoitoa katika Gazeti la JAMHURI la tarehe 6 – 12, 2016. Nilipata maoni kutoka kwa wananchi na wasomaji wako kadhaa. Wengi wao walikubaliana na fikra za mada husika. Hata…

Machimbo Geita yanavyoathiri taaluma

Wakati sheria ya madini namba 14 ya mwaka 2010 ikizuia watoto kufanya kazi katika maeneo ya machimbo, hali imekuwa tofauti katika eneo la kijiji cha Ikandilo kata ya Nyaruyeye Halmashauri ya wilaya ya Geita. Katika eneo hilo watoto wamekuwa wakifanya…