JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Antonio Guterres ni nani?

Ni wazi sasa Waziri Mkuu wa zamani wa Ureno, Antonio Guterres, ndiye Katibu Mkuu ajaye wa Umoja wa Mataifa. Anatarajiwa kuanza kazi rasmi  Januari 2017 Katibu Mkuu wa sasa, Ban Ki-moon atakapomaliza muda wake. Kwa sasa, kiongozi huyo anasubiri kuthibitishwa…

Kuaminiana: Msingi wa Muungano

Watanzania naona tu wasahaulifu kwa kiwango fulani. Hii tabia inaturudisha nyuma kimaendeleo, maana kila tunapopiga hatua ya kuimarisha Muungano wetu basi kwa ule usahaulifu uliopo tunajikuta tunavutwa kuangukia nyuma hatua kadhaa. Tunabaki tunalumbana na kuchokonoa hili au lile kuhusu Muungano….

Kifo cha Mwalimu: Rais Magufuli amewafuta machozi wengi

Wiki hii Watanzania na watu wa mataifa mbalimbali duniani, tunafanya kumbukizi ya kifo cha Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere. Mwalimu Nyerere ni miongoni mwa binadamu wachache ambao ni vigumu mno kuwaelezea. Tena basi, ni wachache wanaoweza kusimama na…

Yah: Usalama wa Watanzania ni suala la kila Mtanzania

Ni dhahiri kuwa sasa kila mtu anajua haki za msingi za kuweza kuishi maisha ya furaha na amani ndani ya nchi yetu bila kujali tofauti zilizopo katika dini, kabila, jinsia na hata umri. Hii ni tunu ambayo tunapaswa kuiendeleza kwa…

Katiba ni sheria ni ukweli

Naamini pasi na mashaka ukweli hauna mahaba na baba, mama, ndugu au rafiki wala hauna hiyana na adui. Ni neno linalojipambanua ni pekee katika mazungumzo na vitendo. Ukweli una tabia ya kulipa na kutoficha uongo, uovu, wema au uadilifu.  Sheria…

Tutumie mitandao kwa faida

Katika orodha ya uvumbuzi muhimu katika karne ya ishirini hakuna ubishi kuwa mtandao wa Intaneti utakuwa miongoni mwa uvumbuzi muhimu zaidi kwenye orodha hiyo. Kupitia matumizi ya mtandao, binadamu wameweza kuharakisha kasi ya maendeleo kwa kiasi kikubwa si tu kwa…