JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Uchaguzi Marekani hautabiriki

Huku siku za kampeni nchini Marekani zikiwa zimekwisha, ushindani mkali unaonekana kati ya Hillary Clinton wa Democratic na Donald Trump wa Republican, hali inayoashiria ugumu katika uchaguzi huo. Wagombea hao – Hillary Clinton na Donald Trump – wamefanya mikutano sambamba…

Wamarekani wengi hawaoni tofauti kati ya Trump na Clinton

Wakati naandika haya, huko Marekani kampeni ya kugombea urais imepamba moto. Hakuna anayeweza kutabiri kwa hakika ni nani atakayeshinda kati ya wagombea wakuu wawili- Donald Trump na Hillary Clinton. Inawezekana baada ya uchaguzi kufanyika Novemba 8 matokeo yakajulikana.  Kwa muda…

Karibu Jenerali Waitara, jiandae kukabiliana na wanasiasa

Nimemfahamu zaidi Jenerali George Waitara wakati huo akiwa na cheo cha Brigedia Jenerali. Ukaribu wangu kwenye shughuli mbalimbali za kijeshi, uliochochewa na mapenzi yangu kwa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), ulinisaidia kumwona mara kwa mara akiwa kwenye…

Yah: Fikra za maendeleo ya siku moja ni ndoto za wajinga

Niliwahi kuandika waraka mmoja hapa kwamba mataifa yaliyoendelea yamepitia misukosuko mingi ya kukamilisha maendeleo yao. Kuna makosa waliyopitia na wapo walioweza kupita njia sahihi kufikia malengo. Kuna usemi kwamba hata siafu au mchwa wanaofanya kazi kwa umoja na kushirikiana, kuna…

Mwaka mmoja wa tamu na chungu wa JPM

Nimewasikia viongozi wangu wa chama tawala na nimewasikia viongozi wangu wa vyama vya upinzani. Wote wanazungumzia utendaji kazi wa Rais wangu, John Pombe Magufuli, katika kipindi cha mwaka mmoja kuanzia Novemba 5, 2015 hadi Novemba 5, 2016. Sina budi kukiri…

Trump anayo hoja anapohofu kuibiwa kura

Hofu za kuibiwa kura huwa tunazisikia kwenye nchi ambazo tunaambiwa demokrasia haijakua. Hayo yamebadilika sasa kwa sababu kwenye nchi ambayo tunaambiwa ndiyo mfano bora kuliko yote ya demokrasia, mgombea wa urais ametamka kuhofia kuibiwa kura zake. Wapigakura wa Marekani wanapiga…