JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Je, Waafrika watarajie nini kutoka kwa Trump?

Uchaguzi umemalizika nchini Marekani; na Donald Trump ametangazwa kuwa mshindi. Huu ni uchaguzi ambao ulisusiwa na asilimia 43 ya wananchi ambao inaelekea hawakuwa na muda au hawakutaka kupoteza muda wao. Trump ametangazwa kushinda ingawa amepata kura  61,166,063; wakati mpinzani wake,…

Tanzania kuna demokrasia gani? (3)

Profesa Ibrahim Lipumba alikaa chini akatafakari akaamua kubwaga manyanga, akaandika barua ya kjiuzulu uenyekiti wa CUF. Angebakia na msimamo wake huo huo – ndio kanuni za uungwana – “stick to you words”. Ghafla anasema hee jamani eee mie bado nautaka…

Nampongeza Waziri Mkuu

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameshatimiza mwaka mmoja tangu ashike wadhifa huo. Ukimtazama usoni, unamuona Majaliwa tofauti na yule aliyeonekana siku jina lake likisomwa bungeni Dodoma kushika wadhifa huo. Huyu ni Majaliwa aliyejaa msongo wa kazi nyingi alizokubali kuzibeba kwa ajili…

Yah: Maoni ya wananchi ya miswada mbalimbali ya sheria inayopitishwa

Kwa kawaida, Mtanzania ninayemjua mimi, kalelewa katika mazingira ya kuhoji kila kitu hata ambacho jibu lipo wazi, atahoji ili apate jibu la pili ambalo halina tofauti na jibu la kwanza, Mtanzania anaitumia vizuri demokrasia hata kama anajua wazi kuwa inamaliza…

Sina kasi na viwango, ‘that’s life’

Nalia machozi yanimwagika. Mwili umechoka; umenyong’onyea kuondokewa duniani na Mnyamwezi mmoja msomi, mwanasheria, aliyeendelea na mwenye hadhari na ulimi wake wakati akiwa katika maongezi. Ni Mnyamwezi mpenda watu, mchapakazi, mvumilivu na mwenye msimamo katika kutetea hoja njema au mbaya. Mjanja…

Wazanaki na uchawi, na miiko ya wazee wa jadi

Hata kama huamini juu ya uchawi na ushirikina, huwezi kuishi ndani ya jamii nyingi za Kiafrika na usisikie taarifa juu ya masuala haya. Miongoni mwa kabila la Wazanaki imani hizi zipo. Ilikuwa desturi anapougua au kufariki mtu jambo la kwanza…