JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Kodi kikwazo cha uchumi

Serikali imetakiwa kuboresha mipangilio ya ulipaji kodi ikiwamo kuondoa tozo zisizokuwa za ulazima, ili kutengeneza mazingira rafiki kwa wawekezaji pamoja na kuepuka kupungua kwa mzunguko wa fedha. Akifanya mahojiano maalumu na JAMHURI, Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Mzumbe mkoani Morogoro,…

Majaliwa asante la Makonda

Wiki iliyopita kwa mshangao mkubwa nimesoma maelezo ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul  Makonda. Makonda amesema mbele ya Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa kuwa lipo kundi la watu 10 lilitaka kumhonga Sh 5,000,000 kila mmoja kwa maana ya…

Maafa ya Kagera, kilio cha wanyonge kwa Rais

Mheshimiwa Rais, kwanza nakupongeza kwa mchango wako wa hali na mali katika kusaidia wahanga wa tetemeko lililoukumba Mkoa wa Kagera mwezi uliopita kwa nafasi yako kama Rais, na pia kwako binafsi.  Kutokana na uhaba wa nafasi ya makala, sitataja kila…

Mgogoro Makao Makuu ya Wilaya ya Ilongero

Kwa kipindi cha wiki tatu kumekuwa na vuguvugu la mgogoro kuhusu Makao Makuu ya Halmashauri ya Wilaya ya Singida (Ilongero). Mgogoro huu unahusu hasa wapi yajengwe Makao Makuu ya Wilaya ya Ilongero. Uliibuka kuanzia tarehe Oktoba 28, 2016 baada ya…

Ndugu Rais, Arusha kunani?

Ndugu Rais, kumekuwa na mfululizo wa habari zisizoisha kuhusu ujambazi na majambazi katika misitu ya pori la Vikindu. Vikindu kama ilivyo Mkuranga yenyewe ambayo ni wilaya mojawapo katika Mkoa wa Pwani, kwa kweli ni Dar es Salaam. Karibu kabisa na…

Ndugu Rais, Arusha kunani?

N dugu Rais, kumekuwa na mfululizo wa habari zisizoisha kuhusu ujambazi na majambazi katika misitu ya pori la Vikindu. Vikindu kama ilivyo Mkuranga yenyewe ambayo ni wilaya mojawapo katika Mkoa wa Pwani, kwa kweli ni Dar es Salaam. Karibu kabisa…