JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Marekani kubadili sheria ya uchaguzi

Serikali ya Kenya ilitangaza hivi majuzi kuwa inaahirisha kwa muda wa miezi sita uamuzi wake wa kuifunga kambi ya wakimbizi ya Daadab iliyo karibu na mpaka wake na Somalia.  Hapo awali Kenya iliamua kuanza kuifunga kambi hiyo mwishoni mwa Novemba…

“Demokrasia siyo mchezo wa kutazamwa tu”

Katika uchaguzi wa Urais kule Marekani mwaka huu 2016, mjini Pheledaphia kulikuwa na zomeazomea wakati Chama cha Democrats kikimteua Hillary Clinton kuwa mgombea Urais wake. Rais Obama alisema hivi, “Don’t boo, vote” you’ve got to get in the arena …because…

Tuzidishe mapambano dhidi ya ujangili

Awali ya yote napenda nianze kwa kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa hatua ambayo tumefikia katika kupambana na ujangili nchini Tanzania. Hakika ujangili umeshamiri sana katika taifa letu siyo tu kwa meno ya tembo peke yake bali hata kwa nyara nyingine za…

Katu ushoga haukubaliki Tanzania

Hivi karibuni, chombo kimoja cha habari nchini kimemnukuu Waziri wa Katiba na Sheria, Dkt. Harrison Mwakyembe, akisema kuwa Serikali haihitaji ushauri wala ushawishi wa chombo  chochote cha ndani ama nje ya nchi, kuhusu masuala ya ushoga na ndoa za jinsia…

Yah: Acha nizikumbuke enzi zetu, labda kwa hali hii zitashabihiana

Nakumbuka Lango la Chuma Mabibo bia ikiuzwa Sh. 18 yaani hii Sh. 100 ya sasa hivi unakunywa bia tano na chenji inarudi, maisha mazuri kwa mtumishi wa kila mahali, iwe serikalini au kwa mtu binafsi. Mshahara wa kima cha chini…

Benteke aweka rekodi

Mshambuliaji wa Crystal Palace, Christian Benteke, ameweka historia mpya kwa kufunga bao sekunde ya 7, baada mchezo kuanza wakati Ubelgiji ikicheza dhidi ya Gibraltar, katika kuwania kushiriki fainali za Kombe la Dunia, Urusi 2018. Wakati Benkete aliweka rekodi hiyo baada…