Latest Posts
Mchango wa Castro katika ukombozi wa Afrika
Ulimwengu umeshtushwa na kifo cha Fidel Castro Ruz, aliyeongoza mapinduzi ya Cuba. Hata hivyo, wachache walishangazwa, kwani Aprili, mwaka huu Castro aliuambia Mkutano Mkuu wa Chama cha Kikomunisti kuwa wakati wake umefika, hasa kwa vile alikaribia umri wa miaka 90…
“Demokrasia siyo mchezo wa kutazamwa tu” (2)
Kumbe wananchi 7,565,330 hawakujitokeza kutumia hiyo haki yao ya kidemokrasia kuchagua viongozi wao. Je, hawa wasiopiga kura kweli wote walikuwa na sababu za msingi kutokupiga kura zao? Tunajua kati ya hao watu 7,565,330 wapo waliotangulia mbele ya haki, wapo waliokuwa…
Hatukumtendea haki Komredi Fidel Castro
Mwaka 2006 nilipata fursa adhimu ya kuzuru nchini Cuba. Hii ni miongoni mwa safari nitakazokumbuka daima. Nimekuwa miongoni mwa wafuasi wa siasa za Fidel Castro na wana mapinduzi aina ya Che Guevara. Tangu nikiwa shule ya msingi nilipenda mno kupata…
Yah: Sasa tumenyooka mkuu tukunje utupange utakavyo
Tarehe kama ya leo mwaka jana tulianza kufurahia madaraka yako, uliisha tumbua majipu kadhaa ambayo wengi wetu tuliamini kwamba mambo yanakwenda vizuri kabisa, kwa upande wangu bado naamini ili furaha bado haijapotea. Tarehe kama ya leo ulikuwa ukingoni kulitangaza baraza…
Miaka 55 ya Uhuru wa Tanganyika
Ijumaa hii ya tarehe 9 Disemba, Watanzania penye majaliwa tutaungana pamoja kuadhimisha miaka 55 ya Uhuru wa Tanganyika (Tanzania Bara). Siku ya kukumbuka kushushwa bendera ya kikoloni ya Waingereza na kupandishwa bendera ya Uhuru ya taifa jipya la Watanganyika. Ni…
Fursa kwa wabunifu chipukizi tasnia ya sanaa
Nimepata fursa hivi karibuni kushiriki katika hafla ya uzinduzi wa mradi wa atamizi ya sekta ya ubunifu katika nyanja za muziki, filamu, na mitindo iliyofanyika Dar es Salaam. Mradi huo, ambao unanuwia kunufaisha wadau wa tasnia ya sanaa waliopo ndani…